kwanini tu
Member
- Nov 8, 2011
- 50
- 63
mkuu upo?haya maeneo nilikwenda nikakuulizia mbona hukuonekana................yaani kumbe ilikuwa ni zuga tu?
mkuu upo?haya maeneo nilikwenda nikakuulizia mbona hukuonekana................yaani kumbe ilikuwa ni zuga tu?
UNAKUTANA NA MWANAUME ANANUKA HARUFU UTADHANI LIBEBERU LIMEKAA ZIZINI MWAKA BWANA ,DAAAH KIUKWELI MNAKERA
SOKSI NAZO WACHINA WAMELETA ZINAUZWA KWA MAFUNGU KAMA NYANYA,FUNGU LA SOKSI PAIR SITA ELFU MOJA ,UNAVAA SOKSI ZINANUKA TENA ZIMECHANIKA WHILE UNAWEKA HESHIMA BAR KWANINI?
Smile Umenichekeshaje? lol.... Haya bana, hope walengwa wamezingatia ujumbe huu wa Msingi.... :biggrin:
nilikuwepo mbona.uliuliziaje?
kwa iyo wewe umefanya bifu r? acha izo
mmmh i was there. hata leo nitakuwepo biafra
Huu mji sina appetite nao kabisaa kwa sasa.............lbda nikiweza kuafford kuwa na kiyoyozi home, kwenye gari na kwingineko ...............for the time being nitaendelea kuishi hukuhuku Makete!
mkuu upo?
LEO NI WKEND WENGI WENU MTAENDA KUUZA SURA KWENYE VITI VIREFU
LAKINI KUNA JAMBO NAWAOMBENI HEBU ACHENI VICHENJI KIDOGO MNUNUE HATA DEODORANT
NI ELFU TATU TU HATA ELFU MBILI UNAPATA ILA USINUNUE YA NIVEA MAANA MPENZI WANGU ALIKUWA ANATUMIA IYO SIIPENDI KABISA IYO HARUFU NAWEZA KUKUZABA KIBAO
UNAKUTANA NA MWANAUME ANANUKA HARUFU UTADHANI LIBEBERU LIMEKAA ZIZINI MWAKA BWANA ,DAAAH KIUKWELI MNAKERA
SOKSI NAZO WACHINA WAMELETA ZINAUZWA KWA MAFUNGU KAMA NYANYA,FUNGU LA SOKSI PAIR SITA ELFU MOJA ,UNAVAA SOKSI ZINANUKA TENA ZIMECHANIKA WHILE UNAWEKA HESHIMA BAR KWANINI?
TUPENI RAHA HUKU DUNIANI JAMANI ,MBONA SISI WANAWAKE TUNAIPENDEZESHA DUNIA? TUNASMILE VIZURI,TUNANUKIA SAFI.KAMA MAUA VILE
NA IYO TABIA YA KUKOJOA OVYO BARABARANI IYO PTUUU MNACHEFUAJE.KILA MAHALI MNAKOJOA HAMNA BREAK AU NI MAMBO YA CAMERUNI HAYO YAMEWALETEA UGONJWA?
NA TABIA YA KUVAA SHARTI HUJAFUNGA VIFUNGO KIFUANI MNAMTEGA NANI ? WATU WANATEGEKA KWA WALLET BWANA (SIO MIMI LAKINI)
NAWATAKIA WKEND NJEMA
NITAKUWA CINEMA MLIMANI CITY SAA KUMI NA MOJA HADI SAA MOJA -IYO NI JMOSI
JPILI CHURCH -THEN KWA MWAKASEGE BIAFRA KINONDONI-
LOVE U MY FELLOW MEMBERS SAAANA :flypig:
Kama Bwana wako ni mchafu na ana tabia hizo muambie tu usizunguke kutuponda wanaume wote lol!
Nikikunyoa nakupiga kipara kabisa,deal?
OTIS
otis!hilo sio suala la kuuliza!huko chini ukimnyoa mtu hutakiwa kubakisha nywele tena,UNAMPIGA KIPARA KABISA!
mmh jaman... tha ndo nn hvyo, tatzo ni mwanaume ulienae.!! et deodornt ya buk 3, akat 2natumia za 20 kwenda juu.. Jarib kumchange hyo mchz af unletee jib
sijaolewa lakini siwezi kuolewa nma mtu kama wewe
una maanisha Mbuzi Mzee!just imagine saint.huku mjini miwanaume inatisha balaa mimbuzi si mimbuzi mwee