Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
nani huyo anahakiki kwa vidole?:confused2::confused2:
c wewe? au unatakaje tena jamani, we sema tu vyovyote mie nitafanya.
nani huyo anahakiki kwa vidole?:confused2::confused2:
Hapo nivae miwani au nisome kama ulivyoandika?mbona leo unapenda kuckia sana hivi vijineno? mama kayai yupo hewani so unataka kujiliwaza kabla haujarudi kunyumba?
Zubri ndo nini mpendwa? Slow learner hapa! Kama una maanisha baioloji, hebu twende PM tukawekane sawa...:confused2:Mbona unajibu kwa hasira asipirini? zubri yako inawalakini nini?
c wewe? au unatakaje tena jamani, we sema tu vyovyote mie nitafanya.
wewe hujasema jembe lako unalitumia baada ya muda gani kupita.
c wewe? au unatakaje tena jamani, we sema tu vyovyote mie nitafanya.
taratibu nyamayao, mmeo asisikie!
Unajua utasababisha hii sredi ipelekwe uvunguni? Halafu taito ya hii sredi inasemaje vile?
Hapo nivae miwani au nisome kama ulivyoandika?
tight siku hizi adimu kaka, hata kama zitakuwa za kichina!nusu saa tu ngoma imerudi palepale!sana sana tight waweza kuzikuta kwenye ile milango yetu ya upenuni!unabisha...........!
We dada unaniharibia sala zangu ujue.....:confused2::confused2::confused2:c wewe? au unatakaje tena jamani, we sema tu vyovyote mie nitafanya.
Zubri ndo nini mpendwa? Slow learner hapa! Kama una maanisha baioloji, hebu twende PM tukawekane sawa...:confused2:
Pole una bahati mbaya na unaokutana nao. kwa taarifa yako tight zipo tena original sio za kichina wala nini tatizo lako huwa unaangalia uzuri wa nje na kuchagua chagua kwa sana kwa nje
We dada unaniharibia sala zangu ujue.....:confused2::confused2::confused2:
Ngoja aje askofu hapa akuthibitishe. Na St. Roya na Pope Kaizer!mhh na wewe unasaligi?
(mwambie dada yangu anaongea matusi...anam:confused2: kaka yake)(nawasemea kwa invisibo ...kuna watu wanatoka nje ya beat no i mean of point)
mhh na wewe unasaligi?
Hivyoe? Mi nilikuwa bado kujua. Hivi kupwaya nalo tusi kumbe? Samahani dada yangu!
(mwambie dada yangu anaongea matusi...anam:confused2: kaka yake)