Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Wakuu nimepokea PM kutoka kwa mshikaji anaulizia kwa wazoefu hivi mwanaume akikaa miaka kama kumi bila kufanya tendo, jembe lake litakuwa kubwa ama litapungua?
Wakuu na wazoefu msaada tutani!
Rev Masanilo, heshima mbele kaka. Napendaga sana post zako mkuu (sio kwa sababu nataka kukutuma ndio ukweli wangu). Sasa naomba unipostie kule kwenye jukwaa la Mahusiano, Urafiki na Mapenzi swali langu hili. Nataka kujua mtu akakaa muda mrefu(>10years) bila kutumia jembe lake, jembe hilo hupungua saizi yake kwa maana ya kimo na unene?
Wakuu na wazoefu msaada tutani!