... i thought this was a serious matter, au mwenzetu unawaelewa sana hawa the better halves??hii ungeiweka kwenye jokes
he kumbe wewe dume?? khe khe heheheeeeeeeeeeeeeeeee, mwaka huu tutakoma:A S-baby:
mkimaliza hicho ninakingine zaidi ya hicho chenye muendelezo,
Hahahaha!!!! Lolkweli Rev. tena pg 18,937 wamesisitiza kwamba wako sahihi wakati wote hata pale wanapokosea :A S-frusty:
I finally got the book that will help you understand women better. Let me know if you need a copy!
Nafikiri Mchungaji nikipata soft copy ya hiki kitabu nikiwa nakaribia kumaliza kusoma macho yatakuwa yanaelekea kupofuka, Hizo page alizofikia huyo jamaa namuona anaanza kukata tamaa kabisaKijana lazima uwe na kopi hawa wenzetu kuwaelewa ni ngumu sana!
seriously mkuu....:gossip:Hahahaha!!!! Lol
Wewe ni Mkaka? Tafadhali vigezo na masharti kuzingatiwa.
he kumbe wewe dume?? khe khe heheheeeeeeeeeeeeeeeee, mwaka huu tutakoma:A S-baby:
seriously mkuu....:gossip:
you can also check appendix 22,998,001-IV :doh: wanazidi kuweka mkazo hili angalizo ukizidi kubisha tu utashushiwa :brick:
seriously mkuu....:gossip:
you can also check appendix 22,998,001-IV :doh: wanazidi kuweka mkazo hili angalizo ukizidi kubisha tu utashushiwa :brick:
Mimi ni dada wa mkaka, nachukue copy kwa niaba mana wadada wanamzingua na hua haelewi afanye nini... Rev napo hairuhusiwi???
Leo tutazijua sana jinsia za watu.....Leo ndo mwisho wa kuwaPM Pearl na Lizzy. Kumbe nlikuwa natongoza midume myezangu bana.
Mi nataka hard copy, ili kila mwanamke ajue ninacho na ninakisoma.
Watajileta wenyewe kwa wingi, maana watajua sasa nafahamu exactly what they need
Ni-printie mchungaji, halafu nitumie kwa DHL