Yaani kwa kutoa tu hio limitation
Kwa wanaume Tu....I fainally Got....
Ndo mimi personally hua nashindwa vumilia...LOL .... Naamini lakini kila mmoja akipata copy mambo yatakua murua...
Wewe ni Mkaka? Tafadhali vigezo na masharti kuzingatiwa.
umenikumbusha kitabu kimoja kikubwa sana lakini useless kabisa kwa tuliosoma baiolojia.. the name was Vines and Rees... volume I and IIduh!haha haha haaaa
Vines and Rines mara 1000
hicho mtakimaliza lini kukisoma??
mchungaji utasahau mistari yote ya biblia ukimaliza hicho kitabu
By the time mkimaliza kukisoma mtakuwa mumeshapooza viungo
Now we know why no one can understand a woman!!I finally got the book that will help you understand women better. Let me know if you need a copy!
Hebu msome mtumishi wa Mungu hapo chini kwa makini. Tutakuvua sketi....shauri lako.We umeshasoma ukamuelewa mama mchungaji???
Sorry nimeshindwa kujizuia nlitaka kujua mnapeana siri gani humu!!
Wewe ni Mkaka? Tafadhali vigezo na masharti kuzingatiwa.
I finally got the book that will help you understand women better. Let me know if you need a copy!
Hebu msome mtumishi wa Mungu hapo chini kwa makini. Tutakuvua sketi....shauri lako.
Mambo ya ufahamu tu niko ukurasa wa 14,301 mwandishi anasisitiza kuwa wanawake huwa wako sahihi wakati wote!
Now we know why no one can understand a woman!!
kweli Rev. tena pg 18,937 wamesisitiza kwamba wako sahihi wakati wote hata pale wanapokosea :A S-frusty:Mambo ya ufahamu tu niko ukurasa wa 14,301 mwandishi anasisitiza kuwa wanawake huwa wako sahihi wakati wote!
he kumbe wewe dume?? khe khe heheheeeeeeeeeeeeeeeee, mwaka huu tutakoma:A S-baby:mkimaliza hicho ninakingine zaidi ya hicho chenye muendelezo,