Lol mkuu hii kali. Leo nimegundua kuwa wafanyakazi wengi hapa kibaruani ni member wa jf. Maana kila ninayemwamkia hivyo anatabasamu na kunambia, 'ndo unatekeleza?'
Naona zoezi kwangu limekuwa biased, ngoja baadaye nitajaribu bar!
Nilitoka ofisini mapema sana ila niliporudi 12:00 mkaka flani akanirushia 'Marytina umependeza' nikajishauri kidogo kabla ya kujibu manake asubuhi tulionana gafla nikaona wenzangu wakicheka kumbe wameisoma hii hapa JF.kama asubuhi hii ofisini kwako kuna mwanamke (hata kama mke wa mtu), ambaye bado hujaonana naye, ukionana naye, katika salamu changanya na neo "umependeza sana". I mean kwa mfano 'Mambo... umependeza'
Then angalia jibu na response utakayopata, kisha tutaidiscuss baadae.
Leo nimeamua niwashirikishe katika tafiti zangu ili akina Marytina wasianze kuniuliuliza mambo ya sample size...
Hivi mwendesha pikipiki bila helmet kofia anaweza kusimama na kumwambia trafiki wa kike umependeza?Vp na sie ambao tupo mavyuoni bado? can it do work kwa maticha or maprofs? Mwongozo tafazali mh. TUKO
Ngoja nimuulize Wife kama kaambiwa "AMEPENDEZA" coming sooooon...
Mi niko likizo, wife kaondoka asubuhu asubuhi, sasa najiuliza hii niiapply kwa mdada wetu wa kazi au niipotezee nisije leta matatizo! Mwongozo tafadhari.
Dooh mpaka sasa kaambiwa na Bosi wake...KAROHO KANAUMA!!!
Aisee, mimi nimefanya hii kabla ya kusoma hata hii post. Kuna binti..ni mdogo kwangu kiumri leo kaja kapiga kiofisi kweli kweli..kapendeza cha-maukwelii, nimemwambia kaepndeza akabaki kujichekesha na smile ambalo nimeliapproximate kuwa abt 2minutes long.
sasa amejipitisha hapa kwangu mara mbili tayari anasmile tu!
hiyo tunaita tia maji tia maji... wanakenua utafikiri nini aiseekama asubuhi hii ofisini kwako kuna mwanamke (hata kama mke wa mtu), ambaye bado hujaonana naye, ukionana naye, katika salamu changanya na neo "umependeza sana". I mean kwa mfano 'Mambo... umependeza'
Then angalia jibu na response utakayopata, kisha tutaidiscuss baadae.
Leo nimeamua niwashirikishe katika tafiti zangu ili akina Marytina wasianze kuniuliuliza mambo ya sample size...
kama asubuhi hii ofisini kwako kuna mwanamke (hata kama mke wa mtu), ambaye bado hujaonana naye, ukionana naye, katika salamu changanya na neo "umependeza sana". I mean kwa mfano 'Mambo... umependeza'
Then angalia jibu na response utakayopata, kisha tutaidiscuss baadae.
Leo nimeamua niwashirikishe katika tafiti zangu ili akina Marytina wasianze kuniuliuliza mambo ya sample size...
matatizo yatakujaje?Mi niko likizo, wife kaondoka asubuhu asubuhi, sasa najiuliza hii niiapply kwa mdada wetu wa kazi au niipotezee nisije leta matatizo! Mwongozo tafadhari.
Vp na sie ambao tupo mavyuoni bado? can it do work kwa maticha or maprofs? Mwongozo tafazali mh. TUKO
WASHTUE....ehh jaman hamwon leo nimependeza ehh ata amnambiii ahh!!!!!!!!!NAsubiri kuambiwa hadi sasa, wananipita pita tu....
Unatufundisha tabia mbaya,, tuna wake zetu nyumbani plzzzz
poa, na uzuri unachangia.Mambo hus....umependeza...!!
sa we huji kua ukiwa uchi ndo unapendeza zaidi!!Hahahah...jipe moyo!!Sijambo japo unanisifia uongo!Ntapendezaje wakati sijavaa nguo?!