Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Upo juu baba nami namuunga mkono huyo shemeji yetu tayari kesha kujua mapungufu yako na kuyakubali.
Ukishajijua weye si mkamilifu; huwezi kupoint out kasoro za mwenzako mpaka mkafarakana................siri kubwa ni kujitambua na kujikubali