Tumeshuhudia siku hiz kina dada wakiwa warahisi sana kugawa penzi. Hv we ungekuwa mwanamke ungekubal kugawa penz kirahis? Msiniulize msimamo wangu...
Mwosha huoshwa!!Tumeshuhudia siku hiz kina dada wakiwa warahisi sana kugawa penzi. Hv we ungekuwa mwanamke ungekubal kugawa penz kirahis? Msiniulize msimamo wangu...
Wanawake wanatamani sana wangekuwa madume.
mi mwenyewe ningekuwa mwnaume halafu nyiue wanaume muwe wanawake mngenitambua...maana ningebokoa mpaka tundu za jasho!
hahahahahaaaaa umenichekesha sana mkuu..dah!!mi mwenyewe ningekuwa mwnaume halafu nyiue wanaume muwe wanawake mngenitambua...maana ningebokoa mpaka tundu za jasho!
ila tumeshuhudia na baadhi ya wanaume siku hizi wakitamani kuwa wanawake pia
haaahaaa...mwenye upele hapewi kucha.
Wanawake wanatamani sana wangekuwa madume.
mi mwenyewe ningekuwa mwnaume halafu nyiue wanaume muwe wanawake mngenitambua...maana ningebokoa mpaka tundu za jasho!
Mwosha huoshwa!!
Sitaki ht kufikiria hiki kitu....namshukuru sn M.Mungu kwa kuniumba na jinsia hii.
ila tumeshuhudia na baadhi ya wanaume siku hizi wakitamani kuwa wanawake pia
Miningekuwa mgumu sana masharti kama ifuatavyo;
1.Uje na picha 4 za passport size
2.Barua kutoka kwa mwajiri
3.Mali isiyohamishika
4.wadhamini 5 wasio na record mbaya kwenye jamii
5.cheti cha kuzaliwa
6.Bank akaunt isiyopungua 200 milioni
umenichekesha saaana mpaka nimeanza ku imagine wasifu wako hahaaaa. kweli kuna mdada mmoja kazini naye huwa ansema hivyo hivyo kwamba angepewa bunduki yaani angewabutua ma sista duu mpaka washangaemi mwenyewe ningekuwa mwnaume halafu nyiue wanaume muwe wanawake mngenitambua...maana ningebokoa mpaka tundu za jasho!
Acha dharau mwanaume wewe....kwani wanawake ndo hawawapumulii nyie?!Au wanaume tu ndo wenye pumzi?!Mijitu mingine inaboa...kama kua mwanamke ni kitu kibaya kiasi cha wewe kua negative kuhusu uanamke kiasi hicho usiwe na mwanamke kua na mwanaume mwenzio ambae nae ni kiumbe cha maana kama wewe!!!AU ULIZALIWA NA MWANAUME WEWE?!kwa kweli sitaki ku imagine eti nipo mwanamke jamaa linanipumulia arrrgh tubaki hivi hivi bila fikra za kuwa nyapu.
mh! Lizzy samahani km nimekukwaza sidhani km umeelewa concept yangu si dharau ni ya ki mtizamo zaidi wala si kudharau mwanamke. nimeumbwa mwanaume kwa nini niwaze kuwa mwanamke! km ukifahamu kwa nini mwanaume anaweza akawa na mwanamke nje ya ndoa lkn siku akimkuta mkewe na mwanaume mwingine atachinja mtu! that sense of being a man! imagination ya kile sasa ninachomfanyia mwanamke (hakuna kibaya hapo usitafsiri kwamba tunawafanyia kibaya) ila ah nikieleza zaidi labda utaboreka zaidi Lizzy basi ningekuwa mwanamke ninge pray hard niwe MWANAUMEAcha dharau mwanaume wewe....kwani wanawake ndo hawawapumulii nyie?!Au wanaume tu ndo wenye pumzi?!Mijitu mingine inaboa...kama kua mwanamke ni kitu kibaya kiasi cha wewe kua negative kuhusu uanamke kiasi hicho usiwe na mwanamke kua na mwanaume mwenzio ambae nae ni kiumbe cha maana kama wewe!!!AU ULIZALIWA NA MWANAUME WEWE?!
Mimi ningekuwa a nun kanisani...
acha dharau mwanaume wewe....kwani wanawake ndo hawawapumulii nyie?!au wanaume tu ndo wenye pumzi?!mijitu mingine inaboa...kama kua mwanamke ni kitu kibaya kiasi cha wewe kua negative kuhusu uanamke kiasi hicho usiwe na mwanamke kua na mwanaume mwenzio ambae nae ni kiumbe cha maana kama wewe!!!au ulizaliwa na mwanaume wewe?!
hahahahaha lol! Ungempa padri eeh!?