Kaka nahitaji choroko gunia 500 kwenda juu kama unazo au kama unamtu unamjua naomba unisaidie tafadhalimkuu naomba uniunganishe na hao jamaa Nina choroko mingi
niunganishe Mkuu My No.0753090295Wapo wahindi wananunua ukishavuna nitakuunganisha.
Mkuu nipe uzoefu wa soko la chorokoMkuu naomba uniunganishe mim nachoroko kibao kama una mawasiliano plz.
Mkuu hebu nijuze hilo soko la mbaazi lilipo maana nina wadau wanalima sanaMwenye mbaazi kwa sasa plz tuwasiliane kuna soko kubwa
Taarifa nilizonazo pia naomba ufuatilie na wewe lakini kwa mazingira yalivyo huenda kukawa na ukweli,Habari wana jf,
katika kukimbizana na maisha ninampango wa kulima mbaazi na choroko mkoani mtwara, zinastawi sana. nipo katika mchakato wa kujua soko/wanunuzi wakubwa hapa nchini ili niwe na uhakika na ninachokifanya. pia mwenye uzoefu na kilimo cha mazao haya naomba anijuze changamoto zake.
ahsante
Mutanda, bado unahitaji choroko?Mwenye choroko naomba tutafutane waungwana. Nahitaji kama gunia 500 kwenda juu. Asanteni
Ninanunua mbaazi, tuwasilianeKuna jamaa yangu anatafuta soko la mbaazi.hivyo ndg kituko nicheck nikuunganishe nae
Ninanunua na kuuza mbaazi, karibu!Mwenye mbaazi kwa sasa plz tuwasiliane kuna soko kubwa
Duh, kaka mbona muda umepita?, ngoja niwasiliane na hao jamaa tena nione kama wana interest tena, nitawasiliana na wewe kama kuna chochote cha kushareMkuu hebu nijuze hilo soko la mbaazi lilipo maana nina wadau wanalima sana
Nipigie 0757939491Mkuu naomba uniunganishe mim nachoroko kibao kama una mawasiliano plz.
TZS 1,500/kgUnanunua sh ngap
Wapi huko?Choroko zinauzwa 3000 per kg. Lakini hazina wapenzi wengi sana.