- Thread starter
- #41
MUNGU AKUSAMEHEUnamjibia mungu wewe kama nani?Tapeli mkubwa
MUNGU AKUSAMEHEUnamjibia mungu wewe kama nani?Tapeli mkubwa
MUNGU AKUSAMEHE.
methali...ukisoma ukaelewa ...utajua unaitaji maombi ya kufunga ufunguliwe...wapi kaandika usipoombewa ufanikiwi...embu somen mueleweSema mungu atusamehe....una usafi gani wewe wa kuniombea msamaha?
Au wewe ni malaika,mdogo wake na Mungu usie na dhambi,mwenye uwezo wa kukoromea wanadamu wengine,unaesikilizwa na mungu tu sisi wengine ni ng'ombe....
Na namba ya simu umeweka kabisa,tukupigie utuombee wewe,tusipopiga mungu hatusaidii?
!
....tena huyo Pdidy muombee apate mume mwalimu..,amfundishe kuandika vizuri!SMS 0658 41 74 86 andika jina, muda wa maombi kama tulivyo ainisha
Anayehitaji mke mie nipo hapa
That's worse!!!!#Hakikisha kabla ya kuolewa uko sawa NA wazazi wako ogopa mzazi akienda KWENYE hall anawaza hiiharusi inaisha saangapi...nikalalezangu
Kwanini wewe usimfate pm?Ni PM
Kwa kweli Mungu mwenyewe akusamehe,mbona umetoka povuu kama vile wewe ndie Mungu mwenyewe. Acha kumsemea Mungu ni MKUU SANA HAHITAJI MTU KUMTETEA .Matangazo ya biashara haya muwe mnalipia...
Eti ndio maagizo ya mungu,kaongea na wewe lini?
Mamlaka ya kuandika kwa jeuri hivi umeeyapata wapi wewe mfanyabiashara?
Fanya biashara halali,uza bidhaa ujenge uchumi wa nchi na kodi ulipe sio mnatuletea utapeli hapa,
pole sana mpendwa ktk bwana Mungu atafanya njia ila tupeane mualiko wakati wa kula wali aise teh teh tehMhhh kazanen kutuombea wajtaj niweng
unatafuta mume? mi natafta mke nahisi tunaendana njoo pm
Mungu kasikia ombi lako na kunileta kwako niwe mumeo