jaman kuna hiz apps napenda mzitafute..GRAVITY na SOCIALLY ni bonge za apps kwa socialy network..yaan kali kam computer
icheck mwenyewe kwa ku *#7370# ikirespond chochote ni symbianHiv nokia 5130 ni symbian au ni aina gani
icheck mwenyewe kwa ku *#7370# ikirespond chochote ni symbian
jaman kuna hiz apps napenda mzitafute..GRAVITY na SOCIALLY ni bonge za apps kwa socialy network..yaan kali kam computer
kureset si mpaka akubali na kuingiza code kakaHahahahaah we uliye ambiwa ubonyeze *#7370# usije jarbu utalia hiyo ni code ya ku hard reset .utapoteza vitu vyao vyote kama simu yak ikikubali kurespond hiyo code
kureset si mpaka akubali na kuingiza code kaka
icheck mwenyewe kwa ku *#7370# ikirespond chochote ni symbian
kama hujui vitu usiwe na kielele. Inakuwaje unataka kumpotezea mwenzio data zake? Wat humu wanazijua code za nokia zote hivyo ungempa namna nyingine ya kujua na si kumpa code ya hard reset.
Mkuu kama kuna wana JF wanao toa code za ku-reset au ku-disable handset za members wengine, basi wachukuliwe hatua kali na Mods, au wafungiwe kabisa- haipendezi kuwa-misread wenzako.