salaama watu wa Mungu.
napenda kutoa ushauri wa bure kwa job seekers wote jinsi ya kuandika application na Cv zao.
kwanza hakikisha unataja post unayo omba au kama haijatangazwa sema qualification zako katika mstari wa kwanza ili zionekane.
pili katika Cv yako exeperience yako kama unayo, iweke baada ya personal data ili iwe rahisi kumatch na job requirements.achana na mambo ya field kwanza ,labda kama hujawahi kufanya kazi.
tatu panga vyeti vizuri kutegemea na kazi inataka cheti gani mfano Diploma,weka cheti hicho baada ya Cv yako.
ki ukweli kazi ikitangazwa watu wanaomba wengi sana kwahiyo upekuzi wa haraka unatafuta vigezo vilivyotajwa haraka ili kuanza kusoma vizuri. post 10 imagine application 600 utasoma kweli mstari kwa mstari?
mwisho walio soma vyuo vya nje wahakikishe TCU imethibitisha vyeti vyao( kwa elimu ya juu).
Nawatakia siku njema.
napenda kutoa ushauri wa bure kwa job seekers wote jinsi ya kuandika application na Cv zao.
kwanza hakikisha unataja post unayo omba au kama haijatangazwa sema qualification zako katika mstari wa kwanza ili zionekane.
pili katika Cv yako exeperience yako kama unayo, iweke baada ya personal data ili iwe rahisi kumatch na job requirements.achana na mambo ya field kwanza ,labda kama hujawahi kufanya kazi.
tatu panga vyeti vizuri kutegemea na kazi inataka cheti gani mfano Diploma,weka cheti hicho baada ya Cv yako.
ki ukweli kazi ikitangazwa watu wanaomba wengi sana kwahiyo upekuzi wa haraka unatafuta vigezo vilivyotajwa haraka ili kuanza kusoma vizuri. post 10 imagine application 600 utasoma kweli mstari kwa mstari?
mwisho walio soma vyuo vya nje wahakikishe TCU imethibitisha vyeti vyao( kwa elimu ya juu).
Nawatakia siku njema.