Kwa Wanandoa: Conjugal Right/Haki ya tendo la ndoa

Kuna mambo hayaleti ladha kudai,mengind inatakiwa upewe tu,yes upewe,tena pengine bila kuomba.Ukidai msisimko hakuna ukienda mahakamani unakua unamlazimisha kuendelea kuwa nae kwenye ndoa.Na kulazimisha jambo hili ni hatari kubwa!
 
Very funny! Kwa 'kumnyima' tunamaanisha nini, manake kuna mtu anataka kutwa mara tatu, 365 days a year. Sasa hii nahisi ni kwa mwanaume ndo anaenda mahakamani. Hivi mwanaume akiamriwa na mahakama kumpa ndoa mwenza wake viungo vitatoa ushirikiano?

Siku hizi kuna shortcut. Unajilalamisha tu kwa jirani halafu anajitolea kusaidia wakati mwenye ndoa yake anasubiri appetite irudi,lol!
 
Na labda kwa kumbukumbu niseme swala hili lipo chini ya sheria ya ndoa ya 1971 na ya mwenendo wa makosa ya jinai ya mwaka 1966

Hizi sheria unazosema ni za nchi gani mkuu,unaweza kunisaidia relevant provisions.,pia unijibu maswali haya.....sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai inahusikaje kwenye masuala ya kunyimana unyumba?....unawezaje ku-execute decree of restitution of conjugal rights kwa mujibu Civil Procedure Act?.
 
kwenda mahakamani na kupoteza hela kisa penzi? afu hata akikubali hayo ni mapenzi ya kulazimisha..ka amekunyima tafuta totoz nyingine ziko nyingi tu mtaani
 
haaaa...
Haki ya kujigijigi haipatikani mahakamani...
Kuna raha gani kujigijigi na mtu ambaye kalazimishwa? Si ndo atakwambia fanya ukimaliza niambie nilale? Na kama ni mwanaume mashine itakubali kweli?????
 
Hizi sheria unazosema ni za nchi gani mkuu,unaweza kunisaidia relevant provisions.,pia unijibu maswali haya.....sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai inahusikaje kwenye masuala ya kunyimana unyumba?....unawezaje ku-execute decree of restitution of conjugal rights kwa mujibu Civil Procedure Act?.

Nitoe samahani kidogo, hapo nilimaanisha mwenendo wa makosa ya madai ya mwaka 1966, My apology
 
Hizi sheria unazosema ni za nchi gani mkuu,unaweza kunisaidia relevant provisions.,pia unijibu maswali haya.....sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai inahusikaje kwenye masuala ya kunyimana unyumba?....unawezaje ku-execute decree of restitution of conjugal rights kwa mujibu Civil Procedure Act?.

About enforcement, yes precisely. U can enforce it though not in common ways we know like attachment and sale or detention as a civil prisoner. You may refresh your memory via O.XXI, r 31 of Civil Procedure Code, [CAP 33 R.E 2002]
 
Ni rahisi kusema nitatafuta another toto! Bt what if you are not made for that! Ndoa zina mambo ninyi usiombe kusikia vituko vya ndoa! Kuna mawaziri hapa kwa kujidai bize inapita hata mwaka hajamgusa mkewe! Mke ndo umri umesogea na heshma anataka 'kuitunza', si rahisi kutoka nje na bado ana 'hamu' na mumewe! Afanyaje? Ndoa inajengwa katika dhana ya makubaliano na upendo! Lakini inapotokea shida mahakama huingilia kati kusaidia
 
kuna raha gani kuifuata mahakamani hii haki?

Atakuvalia shanga kweli au kukuvibrate?

Ndo hapo sasa na ukute ndoa yenyew ilifungiwa kanisani au miskitini. Haki itaenda kutafutwa kulekule kupitia wasimamizi wa ndoa hiyo. Tatizo watu wanatamaniana wanakaa wiki moja wanatangaza ndoa ndo maana haya yanatokea mara kwa mara
 
vitu vingine ni vya kutumia busara tu... kama uliyenae hataki kutoa ushirikiano kuna maelfu wengine wanasubiri ukonyeze tu ulambwe mpaka mtandao wa Goti
 
vitu vingine ni vya kutumia busara tu... kama uliyenae hataki kutoa ushirikiano kuna maelfu wengine wanasubiri ukonyeze tu ulambwe mpaka mtandao wa Goti

Sasa si kila mtu yupo tayari kulambwa goti nje! Narudia tena, kama ndoa yako ipo fresh mshukuru sana Mungu! Ndoa zina mambo jamani!
 
OK ni kweli ndoa zina mambo. Ila kwenda mahakamani ni zaidi. Wengi wanaofanya hivyo wanakuwa wanawatega wenzi wao; yaani anaweka kianzio. Kwa mfano siku akienda kudai talaka, tayari alishafungua kesi ya kudai unyumba huko nyuma; akisema sababu ya kudai talaka ni hii, basi inakuwa rahisi kwa mahakama kuamua.

Mtu haendi mahakamani ikiwa lengo ni kupata haki hiyo tuuu! Lazima kuna kitu anataka kikae sawa ili kingine kifuate. Kuachana mara nyingi kunafanywa kugumu na mambo ya mali. Mahakama mara nyingi humpa upendeleo yule ambaye itathibitika kaonewa kwenye mgogoro. Mtu kwenda mahakama mara nyingi inakuwa ni kuthibitisha kuwa anaonewa ili siku akiamua kuvunja mahakama impe upendeleo kwa kuwa ameonewa.

Hizo ndo mantiki za kwenda mahakamani kudai haki ya ndoa. Kinachodaiwa mara nyingi si haki hiyo. Ni huruma ya mahakama, siku itakapotoa maamuzi ya kugawa mali impendelee huyo aliyeonewa.
 
OK ni kweli ndoa zina mambo. Ila kwenda mahakamani ni zaidi. Wengi wanaofanya hivyo wanakuwa wanawatega wenzi wao; yaani anaweka kianzio. Kwa mfano siku akienda kudai talaka, tayari alishafungua kesi ya kudai unyumba huko nyuma; akisema sababu ya kudai talaka ni hii, basi inakuwa rahisi kwa mahakama kuamua.

Mtu haendi mahakamani ikiwa lengo ni kupata haki hiyo tuuu! Lazima kuna kitu anataka kikae sawa ili kingine kifuate. Kuachana mara nyingi kunafanywa kugumu na mambo ya mali. Mahakama mara nyingi humpa upendeleo yule ambaye itathibitika kaonewa kwenye mgogoro. Mtu kwenda mahakama mara nyingi inakuwa ni kuthibitisha kuwa anaonewa ili siku akiamua kuvunja mahakama impe upendeleo kwa kuwa ameonewa.

Hizo ndo mantiki za kwenda mahakamani kudai haki ya ndoa. Kinachodaiwa mara nyingi si haki hiyo. Ni huruma ya mahakama, siku itakapotoa maamuzi ya kugawa mali impendelee huyo aliyeonewa.

Yeah, u r right, most of times thats also the reason!
 
Back
Top Bottom