Kwa Wanafunzi wa Vyuo Tu

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,421
85,862
Mikopo Elimu ya Juu: Kama tunachangia, basi hatuna deni | Gazeti la MwanaHalisi

Mmekaona hako ka-adress, hebu kabofye uone utamu wake, but mind you ni kwa ajili ya wanafunzi tu walizulumiwa sorry waliodhulumiwa mikpo yao.

By the way, napenda kuwakumbusha WANAFUNZI WOTE WA VYUO VIKUU kuwa, Juzi juzi yule jamaa alikuwa DODOMA this time kaibukia huko baada ya kutuyeyusha saaana pale DIAOMOND Jubilee mwaka ule, masikini wee, tukavaa t-shirt na makofia kama wavuvi au wagonjwa wa UKOMA, haoooo hadi Diamond, tukaahidiwa kuwa hakuna mwanafunzi yeyote atakaye kosa MIKOPO wala elimu ya JUU, tukashangilia weee hadi mbavu zote zikauma, kurudi chuo tukakuta tests zimeishafanywa, ikabidi tufanye special sitting.

Jifunzeni muende zenu msitende kosa tena, kama walivyotenda ndugu zenu wakasalitiwa, sina mengi mie mwanenu. Na hadithi yangu ikaishia hapoo
 
waambie hao wanaojiita wanavyuo wa failed universities za dodoma
 
tuliosoma chuo kikuu ni wale tuliomaliza miaka ya 1999 baada ya hapo njaa imeingia vyuoni kwa hiyo ni siasa tu.
 
aibu sana kwa wasomi kufikia walipofika.
t-shirt za njano ati zawapa homa
nakumbuka enzi hizo nililetewa t-shirt moja nikiwa hall 6,
nilichofanya niliigeuza kuwa deki na at the end ikawa kanyagio la mlangoni.
tokea bodi ya mikopo ianze, tumegoma mara nyingi mno na wengine historia za maisha yetu zimebadilika kwa upuuzi wa wachache tu.
ccm hawana maana hata kidogo
 
tuliosoma chuo kikuu ni wale tuliomaliza miaka ya 1999 baada ya hapo njaa imeingia vyuoni kwa hiyo ni siasa tu.
Poa best ila sio vyote, hiki ninachosomea hapa Nairobi hakuna siasa wala maandamano na migomo kwanza huo muda tutaupata wapi manake hizi kazi za hapa ni dunia nzima. Hawa Lecturers wana moyo wa kazi ka walimu wa Seminary. Lakini hata huku naona public universities kama za bongo tu mara migomo, mara siasa we acha tu!
 
Eeh bwana umenikumbusha sana hiyo ya Diamond J, ni kweli mabasi ya Scandnavia yalikuwa ndo mabasi, vijana wakapandishwa mabasi pale campus, mabibo na Kijitonyama, vijana wakavishwa shati za njano na kijani,kofia bila kusahau Breakfast na lunch, jioni wakarudishwa wakiwa wanaimba nyimbo za kukisifu chama cha CCM, ndugu nikueleze nini baada ya uchaguzi kuisha, yaliyowapata wenyewe wanajua, Kulikuwa na mgomo wa kupinga 40%, walipigwa virungu mpaka basi.Mara oh chi chi emu chiyo nzuri, sasa kaka na dada ule msosi wa Diamond J, ulilipia??
 
UDSM ilikuwa ni mwiba mkali sana kwa SERIKALI mpaka wakafikia mahali pa kupitisha sera ya wanafunzi kutoshiriki siasa, ukishiriki tu unafutiwa udhamini enzi hizo, siku hizi wanasema mkopo. Mnamkumbuka Mzee Punch?, Rais wa awamu pili A.H Mwinyi anamfahamu vizuri sana, mpaka akaamua kuuacha ukuu wa chuo na kumpatia Bomani. Zamani rais wa nchi ndiyo aliyekuwa mkuu wa chuo kikuu. Siku hizi vyuo vimetekwa na wenye njaa, hata maandamano wanafanyia maholini, wanatoka Hall 2 wanaenda Hall Seven maandamano yameisha wakijitahidi sana wanaishia geti la Survey ama Ubungo maji huku wakiimba nyimbo za chekechea wakidai kucheleweshewa posho.
 
Domi, wee ndo ulipanda siti y mbee nini....namkumbuka mshikaji mmoja ivi alikuwa ndo kapewa fungu lote la kulipa madereva, maskini weeee
aliishia kupata kashfa... heee mie tena SIDANGANYIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIKKKKKKKKKKKKKKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
 
Wanafunzi wa vyuo vikuu wamevamia bodi ya mikopo jana wakidai mshiko wao, huyu JK kaishia wapi na ahadi zake zile
 
Back
Top Bottom