BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,000
Kwa Hapa chuoni hasa chuo Kikuu na Vingine Tanzania kila mtu ameondoka kwao akapate Elimu pale.Kwa Hapa Chuoni kwetu First Year ambao ndo wanasemester moja,hasa wadada wa udsm na campas zake wana mahusiano na mwaka wa2 na 3 na wao wenyewe kwa wenyewe.Na unakuta wanaune wa hapa wana mpenzi zaidi ya mmoja na wote ni wa chuo hapahapa.Kuna jamaa alimpenda dada hapa,dada akampa masharti kua wawe wapenzi ila kutangulizana ndani ya chuo marufuku kama ni kuonana ni mjini tu.Je unadhani chuoni kuna mapenzi ya dhati ama ni kukata kiu ya mapenzi ama Mapenzi yakoje chuoni uonavyo wewe,je kuna Upendo Na Ukweli