Msambaa mkweli
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 320
- 342
Big up.
Sehemu nyingi wanasubiri Chadema ifike, kuna baadhi ya vijiji kama Irente watu wamebadilika, kuna kero mbalimbali mfano maji hawana na wametoswa na ccm kwa kipindi cha miaka 50 ya uhuru, wamependekeza cdm iwe solution lakini wahache wanaanza kufanya michango walau kuona kama tunaweza ku reset hudumu muhimu kwa jamii kama vile maji, wendi wamechoka kama ambavyo wataanzania wamechoka pia, walio mbali na Lushoto tunahitaji support yenu
A journey of thousands miles start with one step! Big up & congrats for this stratergic move!