mashimbamang'oma
Member
- Feb 21, 2012
- 53
- 23
KWA WANACHADEMA WOTE NA WAPENZ WA SIASA..TUtarudisha form siku ya alhamisi na tutazindua rasmi
kampeni zetu siku ya jumamosi kwa mujibu wa
mapendekezo ya ratiba ya awali. Wale mlioko ndani ya jimbo na maeneo ya jirani
karibuni uwanja wa ngaresero usa river/leganga....
kampeni zetu siku ya jumamosi kwa mujibu wa
mapendekezo ya ratiba ya awali. Wale mlioko ndani ya jimbo na maeneo ya jirani
karibuni uwanja wa ngaresero usa river/leganga....