Kwa wanachadema tu!

Wana CHADEMA ambao hutumia muda mwingi ku - comment humu JF tubadilike na kusaidia kukuza chama na kueneza elimu ya uraia huko mitaani kwa kuanzia na familia zetu wenyewe. Wapo wanaotoa michango mizuri kuelimisha watanzania lakini ni watanzania wachache tu wenywe kupata taarifa kwa njia ya mtandao. Na tutoke sasa nje ya JF tusaidie kuleta mabadiliko kwa upana zaidi.
 
Wakati chama cha mafisadi kikitangaza slogan ya utawala bora,utawala wa sheria chadema kupitia wosomi kama prf safari watangaze slogan ya uongozi bora na miiko ya uongozi.
Wakoloni walitawala,serikali ya mwalimu iliongoza ccm ya mafisadi inatawala.

Sasa tunahitaji cdm iongoze tumechoka kutawaliwa.
 
Maadamu umeliweka JF basi kila mwanajamvi anahaki ya kuchangia. Vinginevyo ungeweka kule kwenye website ya CHADEMA ama blogspot yoyote ya mwana CHADEMA. Waache waje kuponda mawazo finyu ndipo utakapoimarika.
Constructive criticisms (kusahihisha/kurekebisha na kutoa ushauri stahiki) hazikataliwi, ila kinachohofiwa ni mtu kutoka kwakwe ameshiba na kuja kuanza kutoa Destructive criticisms (kuponda mawazo finyu na kutokutoa suggestions). Kama kusinge kuwa na watu wa hivyo nadhan mtoa mana asingeweka hilo angalizo.
 
Wana CHADEMA ambao hutumia muda mwingi ku - comment humu JF tubadilike na kusaidia kukuza chama na kueneza elimu ya uraia huko mitaani kwa kuanzia na familia zetu wenyewe. Wapo wanaotoa michango mizuri kuelimisha watanzania lakini ni watanzania wachache tu wenywe kupata taarifa kwa njia ya mtandao. Na tutoke sasa nje ya JF tusaidie kuleta mabadiliko kwa upana zaidi.
Umenena vyema Sis angu,kuna siku nlishauri, vijana tujenge mazoea ya kurudi/kutembelea vijijini na kukaa karibu na vijana wenzetu wa vijijini kwa kuwezesha Mashindano ya michezo, kuwapa elimu ya ujasiliamali kwa kutumia mazingira waliyopo km ufugaji wa nyuki, ufugaji wa kuku, mbuzi etc ili wajiongezee kipato, kufanya tafiti mbalimbali za mambo mbalimbali yanayowahusu, Kuwapa ushauri wa kitaalam ktk shughuli zao (e.g kilimo, ujenzi wa nyumba bora, elimu, ufugaji etc) za kila siku na kuchangia elimu huko vijijini sio tu kwa kuwapa fedha bali hata kujitolea muda wako na kufundisha masomo mbali mbali huko kwenye shule za kata unapokuwa likizo, kwa kufanya hivyo utajenga ukaribu na wananchi wa vijijini na utaweza kuwapa na elimu ya uraia. Jitihada hizi zikifanyika nyuma ya mgongo wa chama CDM nina imani 2015 hata magamba wakileta magumashi hawataambulia kitu. Hakika inatupasa kuwa wajanja ili kuwafikia wananchi wa kijijin ambao ndio mtaji mkubwa wa wenzetu.

Mbinu hii ikitumika vizuri na kuanzia sasa, nina imani hatutakosa wagombea wenye sifa kuanzia ngazi ya Kata hadi Majimbo kama ilivyokuwa 2010 huko vijijini. Tena wagombea hawa watakuwa na influence kubwa kutoka kwenye grass root.
 
UTARATIBU WA KUWACHAGUA WAGOMBEA WA UBUNGE NA UDIWANI UWE WAZI NA UTARATIBU HUU UWEKWE KWENYE MAANDISHI NA KWENYE WEBSITE YA CHAMA WAGOMBEA TUPO NA TUNA MMITAJI MIKUBWA TUU KWENYE MAJIMBO YETU NA TUMEKUWA WANACHAMA WA CDM KWA MIAKA TELE tATIZO HATUJUI PA KUANZIA,
 
Heri ya mwk mpya wanajf na wana chdm wnzng!ni matumumain yng kw mmsheherekea vym!
Najua kuna mambo mengi ambay bado chama chetu kinahtj kufanya ili kujiimarisha zaidi kuelekea chaguzi zijazo!najua kuna michango iki/uki wemo yako/wako amba(yo/o) unahtjka sn!viongozi na watu wengine wenye influence kubwa kwa chama wanatakiwa kutumia shauri na jumbe zako zitakaztolewa hapa kukiendeleza na kukijenga chama hiki cha ukombozi!we real appreciate and admire the work whch is being done by Chdm!yangu machache ni;
1.wazidi kukumbushia uovu uliofanya na wakoloni CCM na kupigania urejeshwaji wa rasilimali zilizohujumiwa
2.wazidi kueneza elimu ya uraia kw watz wote(hasa vijijn)
3.kamati kuu izidi kudumisha malezi na nidham hasa kwa wale wanaokichafua chama(SHIBUDA et al)na ikiwzkana kuwaondoa kabisa
KAMA WEWE C MWANACHADEMA USICHANGIE MADA HII!MATUSI NA KEJELI HATUZITAKI HAPA P/SE.TUNAHITAJI KUKIIMARISHA CHAMA ZAIDI!
Peoples pooweeeer!


Magwanda kazini.
 
Mleta mada alisisitiza hii ni ya wanaChadema tu lakini naona kama kuna viherehere wanaanza kuingilia kwa maneno ya kijinga.anyway
Mimi nashauri kwamba tuanze na sisi wana JF na wale wote wenye uelewa wa nini kinachoendelea kuhakikisha tunakisaidia chama kwa kile tulichonacho,naamanisha elimu yetu,busara zetu uzalendo wetu,ubunifu wetu na hata pesa.tuhakikishe tunafungua matawi mengi mjini na vijijini na kuandikisha wanachama wengi,tuzitumie elimu zetu na pesa kwa ku-volunteer ili kukijenga chama,kutoa elimu ya uraia lakini pia kikubwa ni kuzitambua pia nafsi zetu,maana tukiongozwa na roho wa ubinafsi,uroho wa madaraka,tamaa ya kupata pesa basi itatuwia vigumu kukijenga chama na hatimae kujikomboa kutoka kwa wakolono weusi,na bado itakuwa ngumu kujikomboa kutoka katika lindi la umasikini wakati tuko kwenye nchi yaenye neema ya kila kitu.
Tutumie muda wetu kwenda hata huko vijijini kujitolea kukijenga chama,kufungua matawi,tujitoe kushauri viongozi wa matawi hadi Taifa,Pamoja tutashinda-PEOPLEEEEESSS POWEEEEEER!
 
Patriote umenena vema mkuu hadi nimesisimkwa nakuhisi tunajikomboa kesho,for sure freedom is coming tommorow,kwa ulichokinena mkuu kinasogeleana na kile kidogo nilicho comment,na kwa hakika strategy hii ikitumika hata kwa mizinga na makomando wale wa siku ya uhuru bado hawatafua dafu hawa magamba.na kiu kweli tukiishia humu tu jukwaani basi mjue hata 2015 bado tutaendelea kuwa mikononi mwa wakoloni weusi.lakini tukitoka na kukitumia kile tulichonacho na tukawa na spirit of emancipation,wakuu lazima tutafanikiwa kujikomboa.Big up Patriote nimevutiwa na maoni yako,sina hakika kama viongozi wetu wanapita humu,nimeona peter Msigwa sijui ndo yule kamanda wetu wa Iringa,kama ndiye basi myachukue mawazo yanayofaa ili tuyaunganishe kwa kuyafanyia kazi sisi tuko nyuma yenu.
 
Kuna tatizo la mawasiliano au niseme upashanaji habari kuna baadhi ya ofisi hapa Dar tena zinahadhi ya ofisi ya wilaya lakini hazina hata Email adress wala computer,ofisi hii iko Jimbo la Segerea,iko pale Airport.sasa hili nalo ni tatizo nimekuwa nikitembelea sana pale na hapo nikajifunza vitu vingi,hivyo basi nashauri kuwe na mwasiliano yaliyo rahisi kwa kuwa na email address pale ambapo kuna access ya internet,lakini pia napendekeza ofisi zote za ngazi ya wilaya na mkoa hata kata kama kuna nafasi kuwe na chumba cha kupata habari yaani kuwa na information resource ambako mtu akifika hapo ofisini basi atakuta majarida,vitabu,magazeti yenye kumbukumbu za chama na matukio mengine makubwa ya kitaifa,atakuta katiba za chama,katiba ya nchi na taarifa nyingine muhimu ambazo zitzmfanya mtu ahabarike,historia ya chama,waasisi wa chama nk itawezesha watu kuwa informed na kuwezesha kujua mambo mengi
 
Heri ya mwk mpya wanajf na wana chdm wnzng!ni matumumain yng kw mmsheherekea vym!
Najua kuna mambo mengi ambay bado chama chetu kinahtj kufanya ili kujiimarisha zaidi kuelekea chaguzi zijazo!najua kuna michango iki/uki wemo yako/wako amba(yo/o) unahtjka sn!viongozi na watu wengine wenye influence kubwa kwa chama wanatakiwa kutumia shauri na jumbe zako zitakaztolewa hapa kukiendeleza na kukijenga chama hiki cha ukombozi!we real appreciate and admire the work whch is being done by Chdm!yangu machache ni;
1.wazidi kukumbushia uovu uliofanya na wakoloni CCM na kupigania urejeshwaji wa rasilimali zilizohujumiwa
2.wazidi kueneza elimu ya uraia kw watz wote(hasa vijijn)
3.kamati kuu izidi kudumisha malezi na nidham hasa kwa wale wanaokichafua chama(SHIBUDA et al)na ikiwzkana kuwaondoa kabisa
KAMA WEWE C MWANACHADEMA USICHANGIE MADA HII!MATUSI NA KEJELI HATUZITAKI HAPA P/SE.TUNAHITAJI KUKIIMARISHA CHAMA ZAIDI!
Peoples pooweeeer!

Kwa Uandikaji huu nina wasiwasi na umri wako, huenda hata kadi ya uanachama wa Chadema Huna.... kama unayo sema ni kadi namba ngapi?...tuache ushabiki wa kipuuzi!!
 
Heri ya mwk mpya wanajf na wana chdm wnzng!ni matumumain yng kw mmsheherekea vym!
Najua kuna mambo mengi ambay bado chama chetu kinahtj kufanya ili kujiimarisha zaidi kuelekea chaguzi zijazo!najua kuna michango iki/uki wemo yako/wako amba(yo/o) unahtjka sn!viongozi na watu wengine wenye influence kubwa kwa chama wanatakiwa kutumia shauri na jumbe zako zitakaztolewa hapa kukiendeleza na kukijenga chama hiki cha ukombozi!we real appreciate and admire the work whch is being done by Chdm!yangu machache ni;
1.wazidi kukumbushia uovu uliofanya na wakoloni CCM na kupigania urejeshwaji wa rasilimali zilizohujumiwa
2.wazidi kueneza elimu ya uraia kw watz wote(hasa vijijn)
3.kamati kuu izidi kudumisha malezi na nidham hasa kwa wale wanaokichafua chama(SHIBUDA et al)na ikiwzkana kuwaondoa kabisa
KAMA WEWE C MWANACHADEMA USICHANGIE MADA HII!MATUSI NA KEJELI HATUZITAKI HAPA P/SE.TUNAHITAJI KUKIIMARISHA CHAMA ZAIDI!
Peoples pooweeeer!

Kwa Uandikaji huu nina wasiwasi na umri wako, huenda hata kadi ya uanachama wa Chadema Huna.... kama unayo sema ni kadi namba ngapi?...tuache ushabiki wa kipuuzi!!
 
Patriote umenena vema mkuu hadi nimesisimkwa nakuhisi tunajikomboa kesho,for sure freedom is coming tommorow,kwa ulichokinena mkuu kinasogeleana na kile kidogo nilicho comment,na kwa hakika strategy hii ikitumika hata kwa mizinga na makomando wale wa siku ya uhuru bado hawatafua dafu hawa magamba.na kiu kweli tukiishia humu tu jukwaani basi mjue hata 2015 bado tutaendelea kuwa mikononi mwa wakoloni weusi.lakini tukitoka na kukitumia kile tulichonacho na tukawa na spirit of emancipation,wakuu lazima tutafanikiwa kujikomboa.Big up Patriote nimevutiwa na maoni yako,sina hakika kama viongozi wetu wanapita humu,nimeona peter Msigwa sijui ndo yule kamanda wetu wa Iringa,kama ndiye basi myachukue mawazo yanayofaa ili tuyaunganishe kwa kuyafanyia kazi sisi tuko nyuma yenu.
Ahsante Jembe langu, kweli nchi hii haiwezi kukombolewa bila kuwa na njia mbadala, mana mbinu nyingi zimeshatumiwa ila naona hatutoki, nadhan suluhisho ni kubadili utaratibu na Mikakati mingi niliyoshauri hapo haihitaji fedha nyingi au haiitaji fedha kabisa, hakika ni nauli yako tu ya kukufikisha kijijini na balance kidogo tu, otherwise ni kutumia mawazo uliyonayo tu kuwafikia wanakijiji wetu na kuwakonga nyoyo.
 
1. kuhimiza vijana wajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura, utafiti wangu unaaonyesha vijana wengi ni mavuvuzela na si wapiga kura
 
Mimi napenda kufahamu ziara za mikoani zinaanza lini kwasababu kuna ofisi nyingi na matawi bado hayaja/hazijazinduliwa bado. Kwa mfano Ofisi ya CDM kata ya kindi Moshi vijjn i think ndo ya kwanza kwa jimbo zima ofisi imetengenezwa vizuri na utepe tayari upo mlangoni since last year na maeneo mengine mengi ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha. Naomba kuwasilisha!!!
 
Yatakuwa ni makosa makubwa kama hatutakuwa na TV soonest, hilo ni moja. Pili katiba ndiyo bwana mkubwa kashupalia, cha msingi ni kuwa na tume huru ya uchaguzi mapema iwezekanavyo. Mwisho naomba chama kielekeze nguvu nyingi Kanda ya Ziwa
 
Back
Top Bottom