jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Watu au niseme wanaccm wengi wanajiuliza ni ipi sababu iliyopelekea kupokonywa mitaa,vijiji na vitongoji kwa kiasi kikubwa toka upinzani uzaliwe?
Sababu mojawapo iliyochangia kwa kiasi kikubwa ni utapeli waliofanyiwa wagombea wao na ngazi ya juu au kati ya chama.
kuna fungu likilotolewa kwa ajili ya kampeni bahati mbaya limeishia mikononi mwa wajanja wachache na hivyo kupelekea wagombea kujigharamia gharama za kampeni.
wagombea wamechangishwa laki moja moja ili kusaidia kampeni huku ikisemakana kuna fadha ilitolewa kwa ajili hii.
wengi wa wagombea walijikuta wanashindwa kuhonga kama ilivyo desturi.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Sababu mojawapo iliyochangia kwa kiasi kikubwa ni utapeli waliofanyiwa wagombea wao na ngazi ya juu au kati ya chama.
kuna fungu likilotolewa kwa ajili ya kampeni bahati mbaya limeishia mikononi mwa wajanja wachache na hivyo kupelekea wagombea kujigharamia gharama za kampeni.
wagombea wamechangishwa laki moja moja ili kusaidia kampeni huku ikisemakana kuna fadha ilitolewa kwa ajili hii.
wengi wa wagombea walijikuta wanashindwa kuhonga kama ilivyo desturi.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA