RAI yangu kwa Wana JF wote ambao tumenufaika na mikopo tujitokeze kwa wingi kulipa mikopo tuliyoipa vyuoni ili wadogo zetu waweze kusoma bila migomo isiyokuwa na maana.Nimefanya tafiti nyingi kutafuta sababu za migomo nikagundua BODI imeishiwa uwezo wakuwalipa wanafunzi mikopo kama walivyopangilia kutokana ufinyu wa bajeti kutoka serikalilni.
Kulipa mikopo itasaidia kujenga kizazi kipya cha wasomi ambao wataipenda nchi yetu na kuitumikia kwa dhati la sivyo tunaandaa tanabaka la wahuni na wezi kwa vile hawapata haki yao ya msingi kusoma na kujiimarisha kitaluma.Tanzania ya leo,si ya miaka mitano ijayo.Kutakuwa na wimbi kubwa la uharifu kutokana na ongezeko kubwa la vijana wasiokuwa na kazi wala makazi ya kudumu!
Mabadiliko hayo hayatokani na siasa uchwara bali ni hujuma ya Watanzania wenyewe kutolipa mikopo na ongezeko kubwa la wanaokwepa kulipa kodi hususani wafanyabishara wajanjawajanja......
Migomo haitaisha vyuoni hadi pale tutakapokuwa waelewa na watiifu katika kulipa mikopo na kodi zetu kwa wakati mwafaka ili kuwawezesha wanafunzu vyuoni wapate fedha kwa wakati....Pia maadili yafundishwe ngazi ya SEKONDARI kujenga utii katika kazi za serikali na sekta binafsi.
Mungu Ibariki Tanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kulipa mikopo itasaidia kujenga kizazi kipya cha wasomi ambao wataipenda nchi yetu na kuitumikia kwa dhati la sivyo tunaandaa tanabaka la wahuni na wezi kwa vile hawapata haki yao ya msingi kusoma na kujiimarisha kitaluma.Tanzania ya leo,si ya miaka mitano ijayo.Kutakuwa na wimbi kubwa la uharifu kutokana na ongezeko kubwa la vijana wasiokuwa na kazi wala makazi ya kudumu!
Mabadiliko hayo hayatokani na siasa uchwara bali ni hujuma ya Watanzania wenyewe kutolipa mikopo na ongezeko kubwa la wanaokwepa kulipa kodi hususani wafanyabishara wajanjawajanja......
Migomo haitaisha vyuoni hadi pale tutakapokuwa waelewa na watiifu katika kulipa mikopo na kodi zetu kwa wakati mwafaka ili kuwawezesha wanafunzu vyuoni wapate fedha kwa wakati....Pia maadili yafundishwe ngazi ya SEKONDARI kujenga utii katika kazi za serikali na sekta binafsi.
Mungu Ibariki Tanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!