Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 631
mi niliona mods wana lao jambo!, lakini niliona pia wanafanya upumbavu kwani wanafunga ID lakini hawanizuii kufungua nyingine ndani ya dakika 3 na kuendelea kushusha yote yaliyobakia!!, kwanza walinionea! Kumwita mtu anaeeneza udini kuwa ni panya kuna kosa gani? Mi nilimwita lipumba panya kwa kueneza udini!, sasa tusikee udini??, bado nina hasira na waenezao udini!