Katika tz wilaya ambaye huduma muhimu za jamii ni duni sana, nasema tena sana si kidogo ni Hanang mojawapo ambako mpaka sasa imeongozwa na mawaziri wawili (sumaye na sasa Nagu) lkn wilaya hii huduma muhimu kama vile maji, matibabu na elimu ni duni sn ktk baadhi ya maeneo mfano kata ya Gehandu na B/lalu ambako watu huchota maji kwa masaa 12 ktk baadhi ya maeneo na maji haya mara pengine si salama kwa afya ya binadamu kutokana na meneo yakochotwa haya maji, si jambo la kushangaa kuwakuta watoto weng tu hawajaenda shule wakichunga kutokana na shule kuwa mbali sn ktk baadhi ya maeneo nimewahi ona mwanafunz wa primary akitembea masaa 2 njiani afike shule, huduma za afya kama matibu zipo mbali sn ktk baadhi ya maeneo ambako watu hulazimika kutembea masaa 6-8 mara pengine. je hawa viongozi wetu hawaoni hilo tatizo? kuwa hizi huduma muhimu za jamii ziwepo karibu kwa ajili ya maendeleo ya jamii?. Kweli kwa hili tutafikia tz vision 2025 au ni ndoto?.