Kwa wana CHADEMA tu!

nami niko hivyo na Babu yangu alikuwa CCM miaka ya 1980 kama Mwenyekiti wa Wilaya lakini kwa kuwa hakuwaelewa aliama mwaka 1993 kwenda NNCR wakati huo sasa ameshakata roho, Mungu hamreemu maana ke mpaka sasa angekuwa CDM nami ninafuata nyayo zake kuakisha Nchi hii inakombolewa Upya kutoka mikononi mwa Genge la Vibaka wanaobaka vijisenti vya walapwiiiiiiiii

kwani kuikomboa nchi ni kwa kupitia cdm tu? Ni lazima kuwe na ndugu yako hapo?
Kama una nia na unaona unaweza fanya hivyo bila kuhofia babu yako alikuwa chama gani au alifanya nini.
 
yan mkuu usiwe na shaka na mm nipe mwaliko nitakusaidia kufanya kampen ya nguvu kikubwa ni elimi ya uraia kwa vijana wetu na ukizingatia hawa wazee wa ccm wanatoweka safi sana nchi hii sasa ni ya vijana twakuunga mkono pambama
 
rev, kila la heri, ni pm then takupa contact zangu, naamini naweza toa mchango wangu ktk harakati za mapinduzi kupitia mipango yako. Kila heri na usife moyo, the africa of today needs stron visioned people like you and all of us. Hasta la victoria siempre.(said che guevara- no 1 revolutionist in the entire world history)
 
Mkuu kwa kazi niliyonayo nadhani naweza boresha kitambi vile vile. Nafsi yangu inanituma nifanye ninalofikiria sasa. Habari za kusema Kilimo kwanza halafu wakati huo huo unahimiza kujenga machinga complex kila mkoa ina nisikitisha. Nisome kwa makini utanielewa

Tupo pamoja.......
 
Mkuu kwa kazi niliyonayo nadhani naweza boresha kitambi vile vile. Nafsi yangu inanituma nifanye ninalofikiria sasa. Habari za kusema Kilimo kwanza halafu wakati huo huo unahimiza kujenga machinga complex kila mkoa ina nisikitisha. Nisome kwa makini utanielewa

Wengine hufikiri life is all about kula na kunywa tu. Life is more meaningful and fulfilling when you make an impact in other people's life.
Nimesoma resolutions zako kaka, usipunguze mwendo hadi yote yatimie!

Ilikuwaje mzee ukachelewa kumpata Mzenj muda wote huu maana National Service 1991-2 zamani!!!!!!! Hahahahahaaaaaaaaa!

Rev one more thing ni vizuri ukaanza kufuatilia muundo na vikao vya CDM wilaya na mkoa ili uingie kwenye hizo kamati na mikutano at an early stage.
Ongeza idadi ya trip jimboni at least ikupe kujua watu wanafeel nini wakati gani.
 
Nina lazimika kuweka bayana nia yangu ya kukomboa jimbo uchaguzi mkuu ujao. Nina amini raisi bora atatoka chama cha upinzani. Ni muda mrefu CCM wamekuwa madarakani lakini maendeleo ya nchi yazidi kushuka. Ufisadi usio na kina unazidi kushamili, rushwa na kupotea kwa utaifa vinazidi kushika kasi. Mikakati yangu ni kuimalisha CHADEMA kwa ngazi ya Kaya kwa kaya. Jimbo langu lina kata 17, Sekondari za Kata 4, seminary secondary school 1, shule 2 za serikali za sekondari. Hizi shule nitazitembelea na kuwapa misaada ya hali na mali ikiwa ni pamoja kujitolea kufundisha ili nifahamike zaidi kwa wanafunzi ambao ndiyo wapiga kura 2015 hasa elimu ya uraia.

Nitaanzisha mashina ya chama kwenye kata zote 17, nitawezesha wapatikane watendaji kwenye kila kata na kufungua ofisi pamoja na kununulia baiskeli viongozi wote 17. Nitatoa ujila walau kila mwezi wa Shs 10,000 kwa kila kiongozi. Ni hela ndogo ila uwezo wangu si mkubwa na mimi si fisadi. Kila mwaka kutakuwa na mashindano ya kugombea Ng'ombe na jezi kwa vijana football na Netball. Mashindano ya mbio riadha na baiskeli. Ninaandaa manifeso ya uchaguzi ujao nikilenga matatizo ya wananchi wangu na sulihisho zake, sitoweka hapa JF maana najua itanakiliwa na CCM na kurudifiwa.

Ninampango wa kuwasiliana na Makao Makuu ili kadi na viongozi wa juu wa chama waanze kampeni mapema kuandaa wananchi wangu kulinda kura zitoshe 2015.

Pipozi powa! Peoples Power ! Tanzania is for Changes

Rev Masa K

Ulivyo mdini mkuu wala hupati kitu....watakushtukia tuu!
 
Wengine hufikiri life is all about kula na kunywa tu. Life is more meaningful and fulfilling when you make an impact in other people's life.
Nimesoma resolutions zako kaka, usipunguze mwendo hadi yote yatimie!

Ilikuwaje mzee ukachelewa kumpata Mzenj muda wote huu maana National Service 1991-2 zamani!!!!!!! Hahahahahaaaaaaaaa!

Rev one more thing ni vizuri ukaanza kufuatilia muundo na vikao vya CDM wilaya na mkoa ili uingie kwenye hizo kamati na mikutano at an early stage.
Ongeza idadi ya trip jimboni at least ikupe kujua watu wanafeel nini wakati gani.

Mishe mishe za maisha mkuu, halafu ukizaliwa wa kwanza lazima usomeshe wadogo zako wapate uelekeo halafu na wewe uanze kujipanga. Jimboni natia timu mara kwa Mara! 2015 naachana na kazi ya mkoloni niwe jimboni muda wote kuhamasisha maendeleo. Asante tena
 
Ni habari njema sana mkuu, usifikirie kuanza bali uanze mara moja. Nenda uanze kujijulisha kwa wananchi ninahakika wabongo walo wengi washaichoka hii ccm!
 
Mkuu heri ya Mwaka mpya!

I have noted ur point, thank you

Habari yangu nzuri

Itakuwa mbaya kama ulipata MP maana du! sisi wa dini ile tutahama katika hilo jimbo lol.

Natamani nilifahamu hilo jimbo nitengeneze jeshi la kujihami
 
Kuwa mwangalifu na ligi yako ya mpira. Kama hutaweza kui-sustain kwa miaka mitano afadhali uachane nayo. Wapinzani wako wataitumia kuku-label mbabaishaji. Na ukae ukijua jinsi miaka inavyoenda ndivyo ligi itakavyozidi kuwa kubwa na hivyo gharama yake kuongezeka.

Wananchi tayari wamechoka maisha wanayoyaishi hawahitaji kuhamasishwa kwa burudani kuitikia wito wa kisiasa. Kwa sasa cha muhimu ni elimu ya uraia. Kuweza kuambatanisha makali ya maisha yao na maamuzi yao siku ya uchaguzi. Wabunge wa ccm waliopita kwa utashi wao ni wachache sana, wengine wote wamepita kwa kutumia hila ya namna moja au nyingine. Ni lazima wapiga kura wako waelezwe na waelewe umuhimu wa kushiriki katika chaguzi. Wawe na shahada, wasiziuze na waende kupiga kura. Kampeni ya mpiga-kura kwa mpiga-kura ni muhimu. Tafuta pesa au muda halafu uwaonyeshe kwamba una moyo wa kujitolea na kuwajali kwa mfano kwa kuchangia kujenga kisima cha maji au madarasa mashuleni. Utakapoanza kampeni kwa kuwagongea milangoni mwao, watakukumbuka na utakuwa na hoja ya kuanza mazungumzo ya kuwashawishi.

Tanzania itakombolewa na wanaojitolea kuipigania kwa vitendo na sio kwa maneno matupu. I salute you. All the best.
 
Nina lazimika kuweka bayana nia yangu ya kukomboa jimbo uchaguzi mkuu ujao. Nina amini raisi bora atatoka chama cha upinzani. Ni muda mrefu CCM wamekuwa madarakani lakini maendeleo ya nchi yazidi kushuka. Ufisadi usio na kina unazidi kushamili, rushwa na kupotea kwa utaifa vinazidi kushika kasi. Mikakati yangu ni kuimalisha CHADEMA kwa ngazi ya Kaya kwa kaya. Jimbo langu lina kata 17, Sekondari za Kata 4, seminary secondary school 1, shule 2 za serikali za sekondari. Hizi shule nitazitembelea na kuwapa misaada ya hali na mali ikiwa ni pamoja kujitolea kufundisha ili nifahamike zaidi kwa wanafunzi ambao ndiyo wapiga kura 2015 hasa elimu ya uraia.

Nitaanzisha mashina ya chama kwenye kata zote 17, nitawezesha wapatikane watendaji kwenye kila kata na kufungua ofisi pamoja na kununulia baiskeli viongozi wote 17. Nitatoa ujila walau kila mwezi wa Shs 10,000 kwa kila kiongozi. Ni hela ndogo ila uwezo wangu si mkubwa na mimi si fisadi. Kila mwaka kutakuwa na mashindano ya kugombea Ng'ombe na jezi kwa vijana football na Netball. Mashindano ya mbio riadha na baiskeli. Ninaandaa manifeso ya uchaguzi ujao nikilenga matatizo ya wananchi wangu na sulihisho zake, sitoweka hapa JF maana najua itanakiliwa na CCM na kurudifiwa.

Ninampango wa kuwasiliana na Makao Makuu ili kadi na viongozi wa juu wa chama waanze kampeni mapema kuandaa wananchi wangu kulinda kura zitoshe 2015.

Pipozi powa! Peoples Power ! Tanzania is for Changes

Rev Masa K

Kufungua ofisi ni kazi ya chama..wewe unafungua kwa hiyo unatoa rushwa

Utawapa viongozi 10,000/- pamoja na misaada - kuwa mwangalifu na sheria za uchaguzi..hiyo nayo hongo

Manifesto ya uchaguzi huandaliwa na chama katika eneo husika -you sound like dicteta unaandaa mwenyewe
 
Habari yangu nzuri

Itakuwa mbaya kama ulipata MP maana du! sisi wa dini ile tutahama katika hilo jimbo lol.

Natamani nilifahamu hilo jimbo nitengeneze jeshi la kujihami

Bro mambo ya JF yale! Sisi sote ni ndugu nahitaji mchngo wako tujenge Tanzania imara kiuchumi. Huhitaji kuwa na jeshi la kujihami. Sisi ni wamoja tushindane kwa sera
 
Kufungua ofisi ni kazi ya chama..wewe unafungua kwa hiyo unatoa rushwa

Utawapa viongozi 10,000/- pamoja na misaada - kuwa mwangalifu na sheria za uchaguzi..hiyo nayo hongo

Manifesto ya uchaguzi huandaliwa na chama katika eneo husika -you sound like dicteta unaandaa mwenyewe

Mkuu I salute you!

CHADEMA bado ni chama kidogo mtandao wao upo chini sana. Kusaidia yale madogo madogo sioni kama ni kosa. Ilani ya uchaguzi najua ni kazi ya chama lakini nitashiriki kuiandaa kulingana na mahitaji halisi ya jimbo kwa kushirikisha wadau wote. Charity mkubwa huanzia nyumbani.
 
Kuwa mwangalifu na ligi yako ya mpira. Kama hutaweza kui-sustain kwa miaka mitano afadhali uachane nayo. Wapinzani wako wataitumia kuku-label mbabaishaji. Na ukae ukijua jinsi miaka inavyoenda ndivyo ligi itakavyozidi kuwa kubwa na hivyo gharama yake kuongezeka.

Wananchi tayari wamechoka maisha wanayoyaishi hawahitaji kuhamasishwa kwa burudani kuitikia wito wa kisiasa. Kwa sasa cha muhimu ni elimu ya uraia. Kuweza kuambatanisha makali ya maisha yao na maamuzi yao siku ya uchaguzi. Wabunge wa ccm waliopita kwa utashi wao ni wachache sana, wengine wote wamepita kwa kutumia hila ya namna moja au nyingine. Ni lazima wapiga kura wako waelezwe na waelewe umuhimu wa kushiriki katika chaguzi. Wawe na shahada, wasiziuze na waende kupiga kura. Kampeni ya mpiga-kura kwa mpiga-kura ni muhimu. Tafuta pesa au muda halafu uwaonyeshe kwamba una moyo wa kujitolea na kuwajali kwa mfano kwa kuchangia kujenga kisima cha maji au madarasa mashuleni. Utakapoanza kampeni kwa kuwagongea milangoni mwao, watakukumbuka na utakuwa na hoja ya kuanza mazungumzo ya kuwashawishi.

Tanzania itakombolewa na wanaojitolea kuipigania kwa vitendo na sio kwa maneno matupu. I salute you. All the best.

Umenipa changamoto nzuri sana! Nina imani wengi wanajifunza hapa. Ninaumeza huu ushauri
 
Mkuu I salute you!

CHADEMA bado ni chama kidogo mtandao wao upo chini sana. Kusaidia yale madogo madogo sioni kama ni kosa. Ilani ya uchaguzi najua ni kazi ya chama lakini nitashiriki kuiandaa kulingana na mahitaji halisi ya jimbo kwa kushirikisha wadau wote. Charity mkubwa huanzia nyumbani.

All the best,

Najua wale wa dini ile watakuwa wameumia ukipata..michango yako JF mm!

Hata hivyo sisi underground tukikushtukia siku zako zitakuwa chache

Si unajua mambo ya kandahar
 
una dhamira ya kweli kuwatumikia wananchi au unakwenda kuandaa mazingira ya kukiboresha kitambi?

I think you would have spent your money into somthing kuliko kutumia hela kutoa koment kama hii hapa! Watu tunazungunzia maendeleo ya nchi wewe unaleta utani!? Ndo maana huishiii kuwafuata fuata wakupe kula! We vipi?

Bring your sound opinion here!

I hope next time utakoment criticaly towards development otherwise ningekushauri ukae kimya!
 
Back
Top Bottom