namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
Wana jf hebu tujikumbushe kidogo wale tuliopitia shule za msingi iringa mjini,binafsi nimesoma sabasaba primary sc nilianza mwaka 1991 namkumbuka sana mwl Danga alinifundisha kusoma na kuandika darasa la kwanza,wengine walimu kama solomon na mwl admin duu! usipime walikuwa wanagonga stiki balaa,pia mwl komba wa wilolesi alikuwa mlemavu mwanamichezo,mwl ndeme wa kilimani huyu hata uvae mikombozi lakini stiki zake maumivu the same,mwl.Ibobo,vp wengine mnakumbuka nini enzi hizo? PASUKENI WANA JF!!! mlandege,