Kidotulotokordwak
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 286
- 43
Jamani mimi nimemaliza 4m 6 na nina 1 ya 9 kwa HGL na katika kusoma guidbook nimeikuta iyo coz ya ed in ICTna kwenye qualification za kusoma hii coz wanasema 2 principle pass in any teaching subject in which one must be of grade "c",coz hawajastate ni masomo gani,xo kwa art naweza nikaijaza kama nina zaidi ya credit c,mf kwenye geo?