Jaman ndugu zangu,me ndo namalizia kadegree kangu ka biashara hapa mwaka huu.naomben mniambie market ya hii kitu ikoje huko sokoni.over
Jaman ndugu zangu,me ndo namalizia kadegree kangu ka biashara hapa mwaka huu.naomben mniambie market ya hii kitu ikoje huko sokoni.over
Are you trying to articulate that you are a mediocre student?kama ujuavyo GPA wanazopataga wanafunzi weng wa udsm,na me ndo naangukia hapo.
Jaman ndugu zangu,me ndo namalizia kadegree kangu ka biashara hapa mwaka huu.naomben mniambie market ya hii kitu ikoje huko sokoni.over
Mkwizu, Lwiza, Minja, Bais....hawa watu wa Finance lazima wakung'ang'anie mwaka huu!mwaka wa kwanza ilisoma 3.4,2nd yr ikasoma 3.9,mwaka huu wa mwisho bado cjajua..then nimespecialize in finance mkuu.
Mkwizu, Lwiza, Minja, Bais....hawa watu wa Finance lazima wakung'ang'anie mwaka huu!
bcom-finance mkuu.
Jaman ndugu zangu,me ndo namalizia kadegree kangu ka biashara hapa mwaka huu.naomben mniambie market ya hii kitu ikoje huko sokoni.over
kama ujuavyo GPA wanazopataga wanafunzi weng wa udsm,na me ndo naangukia hapo.
mwaka wa kwanza ilisoma 3.4,2nd yr ikasoma 3.9,mwaka huu wa mwisho bado cjajua..then nimespecialize in finance mkuu.
Mkwizu, Lwiza, Minja, Bais....hawa watu wa Finance lazima wakung'ang'anie mwaka huu!