Kwa waliosoma BACHELOR OF IT tu.

thread imepoteza mwelekeo, aliyeianzisha ajipange kuuliza upya. Suala la units halijalishi umesoma b.sc. It au la!!
Pia mitaala inabadilika kulingana na muda/chuo. Mtaala wa it wa mwaka 2000 ni tofauti na 2011.

ndio mana nikaandika kwa jinsi ulivyosoma ww, kama ulisoma 2008 niandikie ya 2008 .......
 
mkuu popobawa hilo neno hapo juu ni bachelor au barchelor hiyo unaimaanisha maana hilo neno halipo hata ukigoogle watakuleta hapa hapa JF

mkuu kwani ndani haujasoma nimemaanisha nini?
Mkuu,KISWAHILI hakina aniorozeshee BALI aniorodheshee!

Si umeelewa lakini?! halafu naomba nikuulize ww ni MPIGAJI au MPIGWAJI?
 
Poa mkuu nimekuelewa, mi ckuweka hiyo "TU" kwa maana mbaya, nimeiweka ili kupunguza kejeli, m2 akiona aimuhusu asiifungue achape mwndo maana siku hizi humu ndani m2 anaweza kuuliza ki2 cha maana m2 akajibu ovyo 2 anavyojisikia yy. so plz ht ww unaweza kunisaidia.
Hata kama siyo mtu wa IT siku hizi nchi zilizoendela wanaenda sambamba na IT kwa kila somo! Usidhani JF ni bongo inapatikana pekee!!IT nikila mmojawapo ajue IT!maana hata anayetumia JF tayari anajua IT japo siyo kwa mapana!pole wewe kopofu uliye ona siku moja ukaona neno IT!!Hata ujuo IT ipo katika mafungu yapi!Poor IT man!!
 
hata kama siyo mtu wa it siku hizi nchi zilizoendela wanaenda sambamba na it kwa kila somo! Usidhani jf ni bongo inapatikana pekee!!it nikila mmojawapo ajue it!maana hata anayetumia jf tayari anajua it japo siyo kwa mapana!pole wewe kopofu uliye ona siku moja ukaona neno it!!hata ujuo it ipo katika mafungu yapi!poor it man!!

ndio mana nikaomba msaada!! We unaejua nijuze basi.
 
Back
Top Bottom