Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
jamani mie leo nimekumbuka enzi za skauti na chipukizi (zamani kila mwanafunzi ilibidi apitie chipukizi) nimekumbuka zile nyimbo na mazoezi tuliyokuwa tukifanya nimezikumbuka pia hizi
1. akapusipusi.......malizia
2. skauti wiii.........malizia
3...................................... na wewe eendelea
nimekumbuka pia na wimbo huu "maskauti makomandooo lele lele makomandooo" wewe unakumbuka wapi hiyo?
1. akapusipusi.......malizia
2. skauti wiii.........malizia
3...................................... na wewe eendelea
nimekumbuka pia na wimbo huu "maskauti makomandooo lele lele makomandooo" wewe unakumbuka wapi hiyo?