chitalula
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,302
- 415
da kweli ajira ni ngumu, sometimes naamini hata degree yangu haina maana sasa, yaani nashindanishwa na mtu wa form four ananizidi sifa duuuuh, i cant believe....nilikuwa nasikia ajira ngumu kumbe ni kweli, c mchezo. hata huyo form six aliyepata nikimshindanisha na cheti changu cha form 6 naamini haoni ndani