Kwa waliokwisha zaa , ama kutia mimba, incase huko popote karibu kama msindikizaji .

Poa,ila kwa upande wangu,
Men siku zote huwa ndo wasababishi wa utungwaji wa mimba.

Kwa hilo nakukatalia futi 40!
Niulize why ?
Coz si lazima He ndy awe preg'creater only! Sometimes Me atamwaga mimbegu Ke ikawa hajarutubisha ovary ! In that case fertilazition cannot being develop!
For another hand She awezakua ovary been matured na He akamwaga mbegu zisizo na rutuba also in that case hapatakua na fertilazion ! Na hakutakuepo pregy !
 
Kwa hilo nakukatalia futi 40!
Niulize why ?
Coz si lazima He ndy awe preg'creater only! Sometimes Me atamwaga mimbegu Ke ikawa hajarutubisha ovary ! In that case fertilazition cannot being develop!
For another hand She awezakua ovary been matured na He akamwaga mbegu zisizo na rutuba also in that case hapatakua na fertilazion ! Na hakutakuepo pregy !

Doh!
We Dr nini?
 
Wat am sure of mwanamke anakuwa sukari guru akipata ujauzito.. Na hii nahisi Mungu ameweka kusudi ili mwanamme ashawishike kushiriki na mkewe kupunguza usaliti na kumpa mama mazoezi mwili unayoyahitaji
 
Hakuna uhusiano wa climax na mimba. Statistically there is zero corelation
 
Wat am sure of mwanamke anakuwa sukari guru akipata ujauzito.. Na hii nahisi Mungu ameweka kusudi ili mwanamme ashawishike kushiriki na mkewe kupunguza usaliti na kumpa mama mazoezi mwili unayoyahitaji

Hapa umeongea Points tupu ! You look far !
 
Judgement kwa taarifa yako me ni mama wa mtoto 1. tena karibu napata mkwe lol. . . .

Hongera!
Namie ni baba with two sons! Na kwa ufahamisho huu sasa nipeilewa ile comment yako ya jana!
Nimejifunza ikiwa utayaelewa machache ya member mwenza unaokoa muda kumsumbua na maswali sometym yanakua unnecessarly!
Sasa mie nina only sons , kama wewe una dota , jiandae kutembelewa ! Si ni Ng'ombe tu?
 
Last edited by a moderator:
Hongera!
Namie ni baba with two sons! Na kwa ufahamisho huu sasa nipeilewa ile comment yako ya jana!
Nimejifunza ikiwa utayaelewa machache ya member mwenza unaokoa muda kumsumbua na maswali sometym yanakua unnecessarly!
Sasa mie nina only sons , kama wewe una dota , jiandae kutembelewa ! Si ni Ng'ombe tu?

hapa ng'ombe 20 tu uwe nazo!
 
hakuna uhusiano wowote, kuna wanawake wana watoto hata wanne lkn hawajawahi kufikishwa kileleni, tumesoma na kusikia malalamiko wakiulizana kilele kinafikiwaje so hata wale wanaobakwa wanapata mimba!
 
si kweli, will be right back.

me napinga,mana mara kibao huwa tunafikia peak yenye utamu ajabu lakn mimba haingii. . .

Mimi hata sijui nilipata mimba siku gani, maana utamu is more or less the same. Hupungua tu kama una vitu vinakusonga kwenye mind!

Siku zote nafikia utamu unaotakiwa nikiwa kwenye lile tendo. Ila siku niliyoshika mimba nilipatwa na hisia fulani tofauti, hivyo naikumbuka vizuri nilivyonasa..pengine pia nafuatilia vizuri mzunguko wangu ambao ni consistency, siku 28.

Unajua hapa tusidanganyane.
Utamu unaenda sambamba na uingiaji wa mimba.
Japo sisi wanawake ndio tunakuwaga watamu zaidi.
Najua wangu Ruttashobolwa na Judgment mtabisha.
Fungukeni... Ili tukeshe na hii Thread!
:hat::hat:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom