Kwa waliokuwa wanakula Pizza Mgahawa wa Uchumi Supermarket

Jamaa unafurahisha kweli unapotaka uongo uwe ukweli acha story za facebook huku kuna watu wazima sawa..
Acha sifa za ajabu Sema ulikuwa unaenda uchumi kuangalia vitu vingine siyo pizza Kuwa mkweli tu mungu anakuona.....!!
Read btn lines..
Ngoja niandike hivi labda ndio utanielewa.." Kila dakika nilikuwa naenda hapo uchumi kununua pizza"
Haya mwaga povu sasa.
 
Hahahaha dah sawa bana mwanaume wa Dar pizza mara nne kwa siku ?

Japo mimi mwenyewe nilinogewa na burger za Morocco almanusura niwe mwanaume wa Dar namshukuru Mungu alininusuru na hilo jiji
Hahhha dar ikikusomba vizur inakupoteza. Ukrud mikoani ndo unagutuka.
 
Afu baadae mnaanza kufanya mazoezi ya kupunguza uzito na malalamiko kibao ya nguvu za kiume daresalaaam nani kawaroga
Panya road wakitokeza mnakimbia ovyo ovyo .... hebu anzeni kula vyakula vya maana
 
HII NCHI VITUKO HAVIISHI YAANI MWANAUME UMEKAA KUANDIKA POST NDEFU HIVO KULALAMIKA KUWA UMEZOEA PIZZA ZA BEI RAHISI SASA HIVI HUZIPATI....DAH NYINYI NDO MNAHARIBU TASWIRA YA WANAUME WA DSM...HATA KAMA UNA MAPENZI NA HIKO KITU ILA JITATHIMINI KWANZA KABLA HUJALOPOKA,UNATAKIWA KULALAMIKIA KITU KAMA MCHELE,UNGA,NGANO NK.
Kwani pizza si chakula? Kuna ubaya gani sasa? Au kula ni dhambi?
 
Wanaume Wanakula Vile Vitu Kweli ? Duh
Zinatengenezwa Na Nini Ndiyo Maana Walaji Wana Chura Na Vitambi
 
walikuwa na Pizza tamu sana tena kwa bei nzuri tu ambayo ilitufanya sisi wapenzi wa pizza tule pizza kila mara. sasa baada ya uchumi kuondolewa nimekuwa nikihangaika kwa mimi nliye mjini ntapata wapi pizza kama zile za bei rahisi na zenye ubora pia? maana town ukigusa pizza tsh 12,000 + kiukweli hapo hatuwez kula kila siku sisi wenye kipato kidogo.

tufahamishane wadau kijiwe kingine cha kula pizza kwa bei nzurikama ya uchumi ni wapi?


Na wewe bwana, ebu wacha ujinga....nani kakuambia uchumi umepotea? Mbona nchi imetengamaa kinoma, wale watu feki serikalini wanashikishwa adabu kwa kutumbuliwa mchana kweupe, wajanja waliokuwa wanashinda siku nzima kutafuta dili kwenye taasisi za serikali ndiyo wako juu ya mawe kwa sasa wakilia na wengine wamekimbiwa na michepuko yao kwa sababu wanatumbuliwa hadharani bila haibu. Nchi kwa sasa imetengamaa na uchumi uko poa kabisa.
 
dada jiandae na mitihani yenu ya form four. sisi wengine tulishapita hatua za kulalamikia ulivyotaja wewe ambavyo unaona ndivyo vya kulalamikia. hivyo vimekuwa ni vya kawaida havisumbui. wewe ambaye upo kidato cha nne sasa unaona hivyo ndo vitu vya kulalamikia. kuna hatua watu wanalalmikia usafiri wa ndege wakati wengine wanalalmikia usafiri wa basi.

kuna hatua wengine wanalalamikia ukosekanaji wa keki wakati wengine wanalalamikia ukosekanaji wa maandazi. ni level mbalimbali za maisha. kilicho muhimu kwako si lazima kiwe muhimu kwangu.priorities zinatofautiana. unajua pizza inatengenezwa na nini? kwan ukikaa kimya huoni kama utaonekana nawe una busara kiasi?

HII NCHI VITUKO HAVIISHI YAANI MWANAUME UMEKAA KUANDIKA POST NDEFU HIVO KULALAMIKA KUWA UMEZOEA PIZZA ZA BEI RAHISI SASA HIVI HUZIPATI....DAH NYINYI NDO MNAHARIBU TASWIRA YA WANAUME WA DSM...HATA KAMA UNA MAPENZI NA HIKO KITU ILA JITATHIMINI KWANZA KABLA HUJALOPOKA,UNATAKIWA KULALAMIKIA KITU KAMA MCHELE,UNGA,NGANO NK.
 
lubede wala sijapanic namwambia tu huyu dada yangu. ni hawa ha wa wakija dar wanatusumbua sana kutaka kuwa na mahusiano nasi. na kudai mikoani kuna wabakaj na hawajui mapenzi. wapo rough na wanapenda kuwalisha avyakula magumu ya hovyo mpaka matumbo yao yanakuwa magumu na usiku hawalali vizuri.

we chukulia usiku unakula ugali na mharage au unakula kande. kwa nini usiote unakabwa au unakimbizwa na wachawi? wataalama wanakwambia usiku kula chakula laini cha wastani tu ili mwili upumzike. siyo unashindilia makande unadhan yanaongeza nguvu na ugali maharage kila siku. waje mjini waone tunakula aina yote ya vyakula. protein,fat,starch,carbohydrate,minerals,vitamins n.k

CHIZI MAARIFA UMEPANIC,HAPA TUNATANIANA TU,PIA KAMA NI MDADA HAKARIPIWI IVO DAAH!
 
Daaaaaaaaaaahhh yani mimi ujue nakaa hapa Makumbusho. Sasa nilikuwa naenda hapa uchumi supermaket hata mara nne kwa siku.
Sasa hivi naenda piza hati ila nako mbali sana daah... Yani umenikumbusha mbali sana
Huna kazi/shughuli ya kufanya hadi uende supermarket Mara nne kwa Siku? Au ww ni kibaka.
 
Wanawake wa dar tunawataka hawahawa wanaume wetu wala pizza...haha...hatutaki wala magimbi
hahahahaa kumbe umeona magimbi hayana changamoto za maisha alafu yana kiungulia sana bora ustick na wanaume wa dar.
 
walikuwa na Pizza tamu sana tena kwa bei nzuri tu ambayo ilitufanya sisi wapenzi wa pizza tule pizza kila mara. sasa baada ya uchumi kuondolewa nimekuwa nikihangaika kwa mimi nliye mjini ntapata wapi pizza kama zile za bei rahisi na zenye ubora pia? maana town ukigusa pizza tsh 12,000 + kiukweli hapo hatuwez kula kila siku sisi wenye kipato kidogo.

tufahamishane wadau kijiwe kingine cha kula pizza kwa bei nzurikama ya uchumi ni wapi?
KULA chapatti, na uifikirie ni pizza!
 
walikuwa na Pizza tamu sana tena kwa bei nzuri tu ambayo ilitufanya sisi wapenzi wa pizza tule pizza kila mara. sasa baada ya uchumi kuondolewa nimekuwa nikihangaika kwa mimi nliye mjini ntapata wapi pizza kama zile za bei rahisi na zenye ubora pia? maana town ukigusa pizza tsh 12,000 + kiukweli hapo hatuwez kula kila siku sisi wenye kipato kidogo.

tufahamishane wadau kijiwe kingine cha kula pizza kwa bei nzurikama ya uchumi ni wapi?

Piza nzuri ni unayotengeneza nyumbani kwako. Kwanini usile ya nyumbani?
 
Back
Top Bottom