mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
@ Wi-fi , du umemwagia maji dogo , bila shaka hii id tutaiona mara ya mwisho kwenye hii thread .
Karibu Jf Daniel Ido
Karibu Jf Daniel Ido
mkuu respeeeeect!! vijana kama hawa ni kuwapa mifano hai tu sio siasa tena za bongo!!! kwel huyu ndo GENIOUS!!!!YES, this is our genius!
Form IV
0485/0158 M DANIEL IDDO 22 III CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-C BIO-D B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-B
WE ni mku***vu sana yan unapima hasira za watu...unaweza pima hasira ya mtu wewe...kama hauko serious na kitu unapost cha nini au unadhan hapa ni FB au jukwaa la mipasho!!! kuwa makin kijana sio kila mtu anapenda utani wa kijinga humu.....KAJIPANGE HUKO **** SANA WEWE!!!mwana iyo ishu niliandika nione watu wata comment aje...i was not hat serious ipotezee basi,,duuuuuh sikutegemea watu wataichukulia namna hii
UNATEST HASIRA ZA WATU WE NI MUNGU!!! kuwa serios kijana...jieshimu pia....Duuh nilikuwa na test hasira za watu
"ma .T.O wote wako UDSM"
Nimependa heading
nadhani ni ugeni akipingwa sapu moja atatulia