Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
achana na tabia za unafiki eti" darling,....sweet,......i miss u. Ndoa yangu ina miaka 9, kila mtu yupo bize kuleta fedha ndani. Nimefunga ndoa ya serikali tumetumia kama laki moja tu, Zaidi ya hapo ni kuingia katika madeni. Ndoa ni makubaliano ya mke na mume, ila jitahidi uoe mke sio mrembo, utajuta