kwa Walio Na Familia!!...Inawahusu!!

Tuna shukuru kwa kutukumbusha,wazazi tujipange vzur kuangalia watoto wetu japo kazi nying.thn vijana wenye tabia hiyo sio wa ku wasamee kirahisi hvyo.ni waharibifu.
 
Majigo sa nyingne una mipwenti wewe safi sana mkuu!
kiukweli maisha yanafanya tusahau sana majukumu yetu kama wazazi!tukijiuliza tu wangapi humu tunasali usiku kabla ya kulala pamoja na watoto wetu!kama ambavyo wazazi wetu walikuwa wanafanyha kwetu wakati tunakua?
 
Last edited by a moderator:
Yaani on a serious note hivi vitu vinakera sana. Na walau huyo amemuembarrass kwa kwenda polisi. Wengine wanakaa kikao cha familia! Bull to the sht! Nyofoa hizo korodani kwanza na hata akitumikia 30 yrs akitoka kisasi kinaanza upya!
asante.

Na mie siwezi hata kukodi watu wa kumshugulikia, nitamshiighulikia kwa mikono yangu miwili.
 
Tuko bize na ubatili mtupu!

Majigo sa nyingne una mipwenti wewe safi sana mkuu!
kiukweli maisha yanafanya tusahau sana majukumu yetu kama wazazi!tukijiuliza tu wangapi humu tunasali usiku kabla ya kulala pamoja na watoto wetu!kama ambavyo wazazi wetu walikuwa wanafanyha kwetu wakati tunakua?
 
Hapo umenena. KWa maisha ya siku hizi watu wameajli sana kutafuta riziki kuliko kuangalia familia hasa watoto. Unakuta ninyi kaka wazazi Mungu amewabariki watoto, lakini sababu ya Ubuisy wenu, unampeleka mtoto wa mwaka mmoja kwenye shule ya kulala eti unamwekea msingi wa elimu. Mtoto anakuwa yatima wazazi wake akali hai. This is not fair. Kama wewe mzazi umeshindwa kulea mtoto wako, ni nani anaweza kukulelea? Je huyo ndiye mwenye uchungu na huyo mwanao? Katika dunia ya siku hizi iliyoharibika, huyo mwanao atajifunza nini? Kama mzazi lazima utafakari
 
Back
Top Bottom