Kwa walio kwenye ndoa

Si haki kunyimana lakini unaweza ukapewa kwa kisirani na hata usisikie raha ya tendo lenyewe cha msingi ni kumaliza mgogoro then ndo mpeane kwa raha zenu.
 
sweetlady nimejitahidi sana lakini bado ananibania tuu hataki kunipatia raha ndiom maana nimelileta hapa na yeye hana sababu ya msingi ni yeye anapata ushauri wa watu wanamdanganya tuu
 
sasa wakina mama wanajifanya kutubania ila akisikia una mke mdogo ananza kulia unamwambia wewe ulishindwa kunitimizia mahitaji nimekutafutia msaidizi

We kama umedhamiria kutafuta nyumba ndogo go ahead and do it at your own expence.Yakikurudi huko usije hapa ukilia!Maana unavyong'ang'ania ni kama unataka tukusapoti!
 
Huwez nyimwa bila sbbu,cha msingi ni kumaliza mgongno uliopo kt yenu thn chuchuba utagonga kwa kwenda usa.
 
Najisikia kuchangia changia hii thread...

MH jaman wanawake si kwamba wanawanyima unyumba waume zao its just MTU ANA HASIRA ZAKE ,HAYUPO KWENYE MOOD HATA KDG MAHASIRA KIBAO THEN WE WATOKA UKO KURUPUU NATAKA UNYUMBA ..wala haujishugulish kutoa hasira mkeo zilizomjaa...MZUNGUMZE KWANZA then muendlee lakin kutaka mambo wakat mwenzako mahasira mia mia si fresh....unless unamfanya mwenzako CHOMBO CHA STAREHE...akinuna asinune we wataka kumpanda tu
 
MH jaman wanawake si kwamba wanawanyima unyumba waume zao its just MTU ANA HASIRA ZAKE ,HAYUPO KWENYE MOOD HATA KDG MAHASIRA KIBAO THEN WE WATOKA UKO KURUPUU NATAKA UNYUMBA ..wala haujishugulish kutoa hasira mkeo zilizomjaa...MZUNGUMZE KWANZA then muendlee lakin kutaka mambo wakat mwenzako mahasira mia mia si fresh....unless unamfanya mwenzako CHOMBO CHA STAREHE...akinuna asinune we wataka kumpanda tu[/QUOTE]

:juggle::juggle:
 
We mdada wababa hawanyimwi kabisa wala hawatishiwi nyau, ukiwanyima kwa kisingizio cha kununa amekukosea wala hajiulizi mara mbili huyoooooooooo kwa shantel, hapo ndio utalia kilio cha kusaga meno
 
Raha ya ndoa maelewano
hawezi kukunyima hivi hivi kuna sababu, tafuta chanzo mkae myazungumze
nanyi mtafurahia ndoa yenu


 
Nawaasa wanandoa wote WAHUDUMIE NDOA ZAO VYEMA, KUNYIMANA SIO ISHU teh! wanawake ndio wakwanza kunyima then wakinyimwa wao ndio wakwanza kulaumu, hapo mpaka jiran atajua duh!
 
kama kuna ugomvi kwenye ndoa,dawa sio kupeana adhabu,matatizo ni vitu vya kawaida.ni vizuri wanandoa kukaa pamoja na kujadili matatizo yao na kuyasuluhisha wakimshirikisha MUNGU.adhabu nyingine hubomoa na kuharibu kabisa badala ya kujenga.kuweni makini wanandoa.
 
Wanaofikiria kwenda nje au kunyimana wote wana makosa. Hao ni watu wasiojua namna ya kuwasiliana kwenye ndoa. Mnashindwa kuwasiliana baina ya wanandoa basi matatizo kama haya huwa ni mengi. Mwanamke anajua namna ya kumkomoa mume ni kumnyima penzi na mwanaume anaona njia ya kumkomoa mke ni kwenda kutafuta penzi nje.
Kusema kuwa mke kumnyima mume ni sababu ya kutoka nje ni kupotoka. Mume atambue naye amechangia kwake kunyimwa unyumba. Inahitaji busara katika ndoa za aina hii. Mara zote ni ndoa ambazo mwanamke hana sauti na njia anayoiona ndio hii maana anajua mwili wake ndicho kilichobakia kwake kuwa na sauti nayo.
Ila pia in all level headedness, imagine scenario hii.


1. Umegombeza mkeo kwa matusi mengi na pengine ngumi na utegemeee kweli atakuwa mwepesi wa kukupa unyumba?


2. Umemdhalilisha mumeo mbele ya ndugu zako au umemkejeli halafu usiku unategemea mumeo akidhi haja yako, je unafiiri atakuwa mwepesi?
 
Weeee!! hivi mtoto akikosa nyumbani ananyimwa chakula? Au anarekebishwa kwa njia ya kawaida isiiyo na adhabu? The same applies, kama umekosana na mumeo au mkeo huruhusiwi kumyima tendo la ndoa hata kidogo, suluhisha mgogoro katika njia ya kawaida, kama kwenye kosa lake hataki kurekebika, na ni hatarishi kwa maisha yenu basi kuna hatua fulani zinachukuliwa kwa mfano kwa waislam watakubaliana na mimi; kuna kitu kinaitwa EDA siyo mpaka ufiwe mume ndiyo ukae eda hapana; kwa makosa kama umalaya, unzinzi uliopitiliza na wawazi basi unahama chumba unamwacha kwenye chumba chake peke yake kwa muda usiopungua miezi mitatu.

kama hajarekebia huyo mwache na maisha yake anza process za talaka fastar vinginevyo anakuua. Ila kwenye EDA lazima vitu muhimu kama chakula, kufuliwa nguo, usafi wa nyumba utaendelea kama kawaida kinachokosekana hapo ni tendo la ndoa tu!

Nawakilisha.
 
We mdada wababa hawanyimwi kabisa wala hawatishiwi nyau, ukiwanyima kwa kisingizio cha kununa amekukosea wala hajiulizi mara mbili huyoooooooooo kwa shantel, hapo ndio utalia kilio cha kusaga meno

Aisee umenifurahisha sana. Mmegombana kaeni chini muongee na kutatua matatizo yenu ili furaha na amani irudi ndani ya nyumba sio kunyimana nanihii. Mwingine anaweza kuamua kutokukugusa kabisa maana anapata anachokihitaji mtaani. Haya mambo ya kunyimana nanihii hayafai kabisa. Ukisusa wenzio WANKULA! ndio WANKULA!

YouTube - Donna Summer-I'm Free (Live).mpg
 
MH jaman wanawake si kwamba wanawanyima unyumba waume zao its just MTU ANA HASIRA ZAKE ,HAYUPO KWENYE MOOD HATA KDG MAHASIRA KIBAO THEN WE WATOKA UKO KURUPUU NATAKA UNYUMBA ..wala haujishugulish kutoa hasira mkeo zilizomjaa...MZUNGUMZE KWANZA then muendlee lakin kutaka mambo wakat mwenzako mahasira mia mia si fresh....unless unamfanya mwenzako CHOMBO CHA STAREHE...akinuna asinune we wataka kumpanda tu

Hivi una wezakuwa kwenye mood mbaya kwa muda wa miezi 10 mpka hata mwaka mzima? hapo chukulia kuwa wewe unatoka matembezi na mashoga zako na maongezi yote mema unayafanya na mumeo isipokuwa kwenye ku DO unakuwa mkali kama mbogo eti bado hujisikii vizuri na kosa la mumeo bado hujaweza kuamua usamehe au la? Mkasa huo ni wa rafiki yangu wa karibu ambapo nilishawishika kuuanzishia topiki tofauti lakini baada ya kukutana hii inayofanana kabisa nayo basi Msaranga ataniwia radhi ka kudandia daladala!

Kisa changu ni tofauti kdg kwani ni kweli kuwa huyo bwana kamtenda mkewe na amekiri na katika kujieleza anasema ni tabia iliyokuwa haieleweki ya mwenzie kumkaushia unyumba kwa muda mrefu wiki 2 mpaka mwezi bila sababu yoyote ya kumfanyia hivyo, ndo iliyopelekea yeye kuwa na ukame na kuamua kujisevia nje na mpango wake wa kando; wanyetishaji walimtaarifu mamsap na bwana akabambatizwa (sio kubambwa) na mazingira ya ushahidi yalikuwa makubwa upande wake kiasi kwamba haikuwa busara kuuruka ushahidi huo ispokuwa kukiri makosa ili mambo yaishe!

Mamasap akaja juuu zaidi hasikii wala haambiwi na badala ya kumkaushia kwa muda saa ndoa akaamua kubana miguu kabisaaaaa! hakuana kinachotoka ; mwezi wa kwanza; wa pili ....mpaka ninavyotype hapa wanakaribia mwaka NO TUNDI kutoka kwa mamaa; katikati ya safari jamaa akaona huu ujinga akaifungua milango ya uwekezaji amabayoalikuwa ameirudishia na sasa yuko kwenye mchakato wa kubwaga manyanga..........akiwa amekata tamaa ya kupata msamaha kabisa. najua wengine watasema amekosa uvumilivu.............but jamani mwaka mzima........mwenzio yupo kwenye mood isiyobadilika wala kuisha?
 
Hivi una wezakuwa kwenye mood mbaya kwa muda wa miezi 10 mpka hata mwaka mzima? hapo chukulia kuwa wewe unatoka matembezi na mashoga zako na maongezi yote mema unayafanya na mumeo isipokuwa kwenye ku DO unakuwa mkali kama mbogo eti bado hujisikii vizuri na kosa la mumeo bado hujaweza kuamua usamehe au la? Mkasa huo ni wa rafiki yangu wa karibu ambapo nilishawishika kuuanzishia topiki tofauti lakini baada ya kukutana hii inayofanana kabisa nayo basi Msaranga ataniwia radhi ka kudandia daladala!

Kisa changu ni tofauti kdg kwani ni kweli kuwa huyo bwana kamtenda mkewe na amekiri na katika kujieleza anasema ni tabia iliyokuwa haieleweki ya mwenzie kumkaushia unyumba kwa muda mrefu wiki 2 mpaka mwezi bila sababu yoyote ya kumfanyia hivyo, ndo iliyopelekea yeye kuwa na ukame na kuamua kujisevia nje na mpango wake wa kando; wanyetishaji walimtaarifu mamsap na bwana akabambatizwa (sio kubambwa) na mazingira ya ushahidi yalikuwa makubwa upande wake kiasi kwamba haikuwa busara kuuruka ushahidi huo ispokuwa kukiri makosa ili mambo yaishe!

Mamasap akaja juuu zaidi hasikii wala haambiwi na badala ya kumkaushia kwa muda saa ndoa akaamua kubana miguu kabisaaaaa! hakuana kinachotoka ; mwezi wa kwanza; wa pili ....mpaka ninavyotype hapa wanakaribia mwaka NO TUNDI kutoka kwa mamaa; katikati ya safari jamaa akaona huu ujinga akaifungua milango ya uwekezaji amabayoalikuwa ameirudishia na sasa yuko kwenye mchakato wa kubwaga manyanga..........akiwa amekata tamaa ya kupata msamaha kabisa. najua wengine watasema amekosa uvumilivu.............but jamani mwaka mzima........mwenzio yupo kwenye mood isiyobadilika wala kuisha?
duh hii ni balaa lol huyo mwanamke atakua chizi hv anajua aliolewa ili iweje kama sio kutoa hiyo tamu?!hapo mwanaume hana makosa na angepata mwanaume type yangu miezi 10 pia mingi mwanawane ningeopoa kidogodogo zamaaani na kumuacha huyo waifu aendelee kubana miguu yake
 
unasumbua akili yako bure jiulize kwanini babu zetu walikuwa na wake hadi 10, yote ilikuwa kuepuka GUBU za wanawake ndani akikunyima kajichakachulie out kwa raha zako. kule kuna mtandao wa kutwanga kotekote, sikunyingine ukifika unamwambia leo nitatumia tigo tu, kesho unaamua kutwanga kotekote kesho kutwa wapiga kifo cha mende kwa raha zako. Tena hata ukipata style mpya kule ukitaka kuijaribu hakuna wa kukuuliza wewe waendelea na experment yako huku ukipewa ushirikiano 100%. Wewe ukinyimwa usiumize kichwa wekeza nje kaka ukiwa na vichwa vitatu huna shida unachagua tu leo wapi, Hapo mchoyo kwisha habari yake
 
mbona nina kiherehere??

humu nimefata nini sasa wkt si mwanandoaa???
 
Si haki kunyimana lakini unaweza ukapewa kwa kisirani na hata usisikie raha ya tendo lenyewe cha msingi ni kumaliza mgogoro then ndo mpeane kwa raha zenu.

Watu mna maneno nyie.....haya nami nipe kwa raha zako.
 
Back
Top Bottom