Kwa sababu ya neno "National"Hivi kwanini kinaitwa chuo cha taifa?
Mimi ndo sijaona vizuri au? Mbona kama vile Tangazo linawahusu Certificate na Diploma?Tulieni sasa mpate uhakika wa pesa toka bodi mje kusoma msilalamike sana taatifa kuchelewa ni kwa sababu muda wa kufungua chuo ni mpaka mwez wa 11
Kwa sababu ya neno "National"
icho ndio chuo cha taifa cha usafirishaji, au kuna kingine unachokijua ndugu yangu.mhmh waliokipa jina waundiwe tume maana chuo na jina haviendani
yap mkuuMimi ndo sijaona vizuriau? Mbona kama vile Tangazo linawahusu Certificate na Diploma?
Bachelor maana yake haujui au?Mimi ndo sijaona vizuri au? Mbona kama vile Tangazo linawahusu Certificate na Diploma?
yap mkuu
iyo kali ya mwaka mtu anaenda chuo kikuu hajui nini maana ya bachelor degree.Bachelor maana yake haujui au?
Nkuuliz Wewe unaysema tangazo linahusu diploma &cert only, soma vizur tangazoiyo kali ya mwaka mtu anaenda chuo kikuu hajui nini maana ya bachelor degree.