Kwa walio chaguliwa chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT) pitia hapa

medenc

Member
Nov 7, 2015
98
70
1477029477854.png
 
Tulieni sasa mpate uhakika wa pesa toka bodi mje kusoma msilalamike sana taatifa kuchelewa ni kwa sababu muda wa kufungua chuo ni mpaka mwez wa 11
Mimi ndo sijaona vizuri au? Mbona kama vile Tangazo linawahusu Certificate na Diploma?
 
sijui kama makaveli kaona hii thread maana tangu majina ya nit yatoke kimya kabisa.
 
Back
Top Bottom