Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Njugu, karanga,ndizi,kitunguu saumu,kitungu maji chekundu na asali.Huku kwetu katavi hizo almonds tunaziona kwenye picha tu, nini mbadala wake?
Njugu, karanga,ndizi,kitunguu saumu,kitungu maji chekundu na asali.
Kuwa ghali Lozi (Almond) ndio kumeifanya iwe na thamani na ndio Dawa inakuwa ni ghali dawa ikiwa bei Rahisi sio dawa hiyo kaka.Lozi zenyewe bei kali!!!
Kuwa ghali Lozi (Almond) ndio kumeifanya iwe na thamani na ndio Dawa inakuwa ni ghali dawa ikiwa bei Rahisi sio dawa hiyo kaka.
zunapatikana pande zpi?
Kwenye supermarket
Utajuaje ni nechalo au atifisho?
Hizo lozi ni nini aiseee au mondi sivijui kabisa yaani... Embu nielewesheni jamani
Kuwa ghali Lozi (Almond) ndio kumeifanya iwe na thamani na ndio Dawa inakuwa ni ghali dawa ikiwa bei Rahisi sio dawa hiyo kaka.