Yaani dear acha tu! Kuna binti alifunga ndoa, kumbe jamaa ana mke na watoto mkoa mwingine!
Anzisha tu mjadala. . . .
Si kila mtu anakubali kuwa OPTION, wanaume wanajua kabla ya kutongoza kuwa possibility ya kumpata mwanamke unayemuhitaji ambaye hafanyi biashara ni ndogo kama ukimpa ukweli huo...just curious...unawaambiaga kwamba umeoa?....lol:washing:
kuwa na mke
na kuwa na girlfriend ni tofauti?
wengine anaishi na gf....hapo je??????
mhhhhh.....poleni sana.......
kwani si bora mtu useme tu nina mtu....ili ratiba iwe rahisi????
Sijakuelewa kabisaa, nijibu basi kwa nia ya kutaka nielewe mkuu...lol
Duh,hapo mi sijui kama tungeendelea kuishi nchi moja....inauma aisee!!Yaani dear acha tu! Kuna binti alifunga ndoa, kumbe jamaa ana mke na watoto mkoa mwingine!
na Lizzy no 7 ucjidanganye.....2nakutana kwenye misiba/sherehe na 2nachangamkiwa wote pa1, hapo wanacheza karata 3 ucmjue mhucka,hili game Lizzy we acha 2....hapo mengi 2nafanyiwa/yaona 2najikausha 2 na hakuna liclowezekana hapo, tena ukimkuta mwenye maneno matamu ndio kabisaaaaaa......
namaanisha kama mtu anaweza kuwa na sifa zote hizo lakini hayuko kwenye ndoa
but ana on an off gf....get it?
You are smart and looks like am the dumb one here....ulichomaanisha mtu aweza kuwa na girlfriend na akawa ana behave kama kama Lizzy alivyosema?? Sasa kwa kujua nature ya wadada wengi kupenda competition atleast kama possibility ya kumchukua ipo kubwa kwanini mwanaume umdanganye?? mwambie tu nina girlfriend,ufaidi...ROFL
na Lizzy no 7 ucjidanganye.....2nakutana kwenye misiba/sherehe na 2nachangamkiwa wote pa1, hapo wanacheza karata 3 ucmjue mhucka,hili game Lizzy we acha 2....hapo mengi 2nafanyiwa/yaona 2najikausha 2 na hakuna liclowezekana hapo, tena ukimkuta mwenye maneno matamu ndio kabisaaaaaa......
rafiki yangu yeye ameoa, na akipata kimada ama nyumba ndogo basi siku za mwanzo yupo single, ila akishapata utamu wake basi atamwambia live 'nimeoa so kuwa makini na sms zako na simu zako' hapo binti huwa anakubali kila atachoambiwa kama mbuzi wa kafara vile.
umeona eeh.
ndo maana nasema hii definition ya mke iko 'complicated'
mwingine ameishi na gf miaka,anatambulika as mke but hawakufunga ndoa...
hiyo ROFL ndio nini?????
You are smart and looks like am the dumb one here....ulichomaanisha mtu aweza kuwa na girlfriend na akawa ana behave kama kama Lizzy alivyosema?? Sasa kwa kujua nature ya wadada wengi kupenda competition atleast kama possibility ya kumchukua ipo kubwa kwanini mwanaume umdanganye?? mwambie tu nina girlfriend,ufaidi...ROFL
Hahahaa. . . Punguza munkari dearest.Ila kweli wanaboa sana. . . wote wake kwa waume. Hapo kwenye list hata sina cha kuongeza maana zimejitosheleza. . . ntachakachua kidogo niziweke ubaoni.