Sio kwenye cramps soma comments zake kwa Finest.Hahaha!Kweli huyo ndo mjasirimali..na tulivyo wengi mbona atatajirika in no time!
poa vaa kabsa bas..lakin uvae sket au kanga usivae suruali..Rose namimi nipitie twende???bora we husalimiwi lakini wanakuangalia mi hata kuangaliwa hawaniangalii????:Cry::Cry:
Asante Nguli!
Ahsante mkuu, nshachukua namba za simu... Hapa JF lazima niwamege kama 10 hivi.
mbona namba zake hazipokelewi? Ngoja ntajaribu tena baadaye.
poa vaa kabsa bas..lakin uvae sket au kanga usivae suruali..
We mchonganishi wewe!Sio kwenye cramps soma comments zake kwa Finest.
asante mwaya
mi ntaenda manake dahh mwaka sasa ata dada habari sipat..thaxx dahh!!!!!
poa vaa kabsa bas..lakin uvae sket au kanga usivae suruali..
hivi hakuna mganga wa kutupeleka mbinguni au kutufanya tusife?? Hii miganga mitapeli sana aisee