kwa wale wana'Udom'

Xpéndablè

Member
Sep 20, 2012
8
1
Habari zenu bhanah.. Ningependa kupata uchangaunuzi kuhusu suala la Medical Capitation fee(100000) ambalo lipo kwenye list ya Direct costs na suala la kujiunga na National Health insurance fund Tsh 50400/year ambayo imetangazwa na chuo cha Udom.. Kwa mimi hiv vitu viwili vinanichanganya xana, Je, kuna umuhimu gan wa kulipa Medcal captation fee endapo kama nitajiunga na NHIF? Msaada plz
 
Binafsi sijajiunga na NHIF so nalipa hiyo hela ya medical then mchezo kwisja
 
Binafsi sijajiunga na NHIF so nalipa hiyo hela ya medical then mchezo kwisja

thanx mkuu.. Xaxa mkuu kp bora kulipa Medcal Capitation au kujiunga na NHIF? Je, iwapo nitajiunga na NHIF je watanilazmisha nilipie na hyo Medcal Captation fee?
 
Xpéndablè;4682479 said:
thanx mkuu.. Xaxa mkuu kp bora kulipa Medcal Capitation au kujiunga na NHIF? Je, iwapo nitajiunga na NHIF je watanilazmisha nilipie na hyo Medcal Captation fee?

Hiyo medical capitation ni kwa miaka 3 na NHIF ni 5400 kwa mwezi, kama una Kadi ya NHIF haina shida, kama hauna unataka kujiunga unaona kipi bora??
 
but nimesikia pipo wanasema zile direct cost zinalipwa zote;;;;;;;;;je kunaukwelii wowote;;thn jamani accomidation kwamtu ambae unamkopo lazima ulipe pia b4 30 septmbr'''
 
but nimesikia pipo wanasema zile direct cost zinalipwa zote;;;;;;;;;je kunaukwelii wowote;;thn jamani accomidation kwamtu ambae unamkopo lazima ulipe pia b4 30 septmbr'''

Kwa nilivyoambiwa zle Direct costs unaweza kulipa kwanza 200000 'ie' pa1 na hyo accomodation humo humo, then na angalau nuxu ada then boom likitoka pesa yako ya accomodation utaifidia humo humo
 
Back
Top Bottom