Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
CC farkhina, MziziMkavu anataka kutupa njaa tu saa hizi.
1.Kababu
2.Kachori
3.Bajia za kunde
4.Mshakaki wa kwio :lol::lol:
5.Chipsi za muhogo
6.Urojo
7.Urojo mix(Wa vikorombwezo nilivyotaja)
8.Pilipili
9.Chatne
10.Hio katikati sijui milk shake au ice cream inaonekana tamtam lkn ungeweka juisi ya miwa :eyebrows::eyebrows:
CC farkhina, MziziMkavu anataka kutupa njaa tu saa hizi.
1.Kababu
2.Kachori
3.Bajia za kunde
4.Mshakaki wa kwio :lol::lol:
5.Chipsi za muhogo
6.Urojo
7.Urojo mix(Wa vikorombwezo nilivyotaja)
8.Pilipili
9.Chatne
10.Hio katikati sijui milk shake au ice cream inaonekana tamtam lkn ungeweka juisi ya miwa :eyebrows::eyebrows:
Finish
Tunatiana njaa tu
Duh!! Njaa inauma
MziziMkavu, hiyo misosi imekaa kiponjoroponjoro sisi wa huku midizini tutajuaje majina yake?
Ungeleta dizaini za huku midizini ningeelewa lakini hizo chori patni unanionea!
Hadi njaa imeniuma jamani
MziziMkavu, hiyo misosi imekaa kiponjoroponjoro sisi wa huku midizini tutajuaje majina yake?
Ungeleta dizaini za huku midizini ningeelewa lakini hizo chori patni unanionea!
Nimeona viazi nyama tu!
Mii kwangu ugali na dagaa2 misosi hiyo mi sishibi
Mshanitamanisha napika urojo this weekend karibuni wote...
Toba roho yangu na kitumbo changu cha utamanifu
MziziMkavu anything happen, utajibu kesi