Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Tunda gani hili?
Tope tope tamu sana lina vimbegu mfano wa korosho ambavyo vinakuwa na nyama nyeupe ambayo ndio inayoliwa
Mzizi bana.......lete tunda gumu......tulidadavue........kama hili......
Sista, hili ni doriani.
Kama hujalizoea basi ni lazima uzibe pua ili uweze kulila, lakini ni tamu sana.
Mzizi bana.......lete tunda gumu......tulidadavue........kama hili......
Mzizi bana.......lete tunda gumu......tulidadavue........kama hili......
duuh kama testis
Ilo testis unakulaga na chumvi au asali,
inategemea likiwa bichi unakula na pilipili
likiiva waweza tengenezea juyc
Labda nimeshindwa kutoa maelezo, ni hivi:-Mbona kama umedanganya...mbegu zina nyama nyeupe af hizo nyama ndo zinaliwa??
Labda nimeshindwa kutoa maelezo, ni hivi:-
Baada ya kumumunya/kumung'unya nyama nyeupe zinabaki mbegu ambazo rangi yake kama mende au sijui niseme ndio nyeusu.
Mbegu ni hatua ya mwisho(ndogo ndogo zinateleza) ambazo unatema baada ya kumaliza utamu(nyama)