Kwa wale wanaojuwa matunda, hili ni tunda gan?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
10767_572008329551140_1366697988_n.jpg
 
We acha tu mambo ya Valentine...na leo Ijumaa ukitaka kuona Guest na Hotels zinavyojaa Sinza na Mitaa yake nenda leo baada ya saa tatu usiku .....ndo utajua kuwa kweli siku ya wapendanao...wengine tupo safari....hatujaiona
Kila la heri wapendanao
 
hilo ndilo tunda la mti wa katikati kama lilivyo hapo pichani, ndilo adamu na eva walilolila wakaleta dhambi, hilo tunda ni tamu sana lakini mimi silipendi katu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom