Arnold Ndosi
Member
- Aug 14, 2012
- 65
- 3
Kama Wanadodoso Wnzangu Wa Jf Nimedodosa Kuhusu Swala La Maandamano Na Migomo Udsm Na Wahtmu Fulani Wakaniambia
"maandamano Na Migomo Udsm Imezmishwa Na Utawala Toka Miezi Ya Mwanzon mwa Mwaka Huu Pale Ambapo Kuliibuka Vjana Machachari Sana Walio Leta Gumzo na kuchochea vurugu na maandamano yaliolenga Kudai Nyongeza Ya Posho Kufikia Elfu 10 Kwa Kutwa,Mfn.ALSHA BAB &ALSHA AUNT.kimsing chuo kiliwapa adhabu kali iliyo wakata kilimilimi wana udsm kwa 7bu waliwafukuza chuo wao wote na wafuasi wao Huku Wakiwa Hawaruhusiwi Kujiunga Tena Na Chuo Chochote Nchn Na Wengene Wakalala Rumande Kwa Siku Kadhaa".Eti,wanatushauri sisi tunaojiunga na udsm mwaka huu 2sijipendekeze kuendesha maandamano au kijipitsha kimbelembele hasa pale 'level square'.Lakini mzngatie kwamba sikuulizia kwa malengo yeyote Mabaya Bali Ni Stori Za Hapa Na Pale Zilileta Mada Hyo Na Hvyo Nikaanza Kuwadodosa Kiundani.mnasemaje Mazee? Eti,kufukuzwa Kwao Chuo Kutafanya Wa2 Wngne Washndwe Kudai Maslah Yao?
"maandamano Na Migomo Udsm Imezmishwa Na Utawala Toka Miezi Ya Mwanzon mwa Mwaka Huu Pale Ambapo Kuliibuka Vjana Machachari Sana Walio Leta Gumzo na kuchochea vurugu na maandamano yaliolenga Kudai Nyongeza Ya Posho Kufikia Elfu 10 Kwa Kutwa,Mfn.ALSHA BAB &ALSHA AUNT.kimsing chuo kiliwapa adhabu kali iliyo wakata kilimilimi wana udsm kwa 7bu waliwafukuza chuo wao wote na wafuasi wao Huku Wakiwa Hawaruhusiwi Kujiunga Tena Na Chuo Chochote Nchn Na Wengene Wakalala Rumande Kwa Siku Kadhaa".Eti,wanatushauri sisi tunaojiunga na udsm mwaka huu 2sijipendekeze kuendesha maandamano au kijipitsha kimbelembele hasa pale 'level square'.Lakini mzngatie kwamba sikuulizia kwa malengo yeyote Mabaya Bali Ni Stori Za Hapa Na Pale Zilileta Mada Hyo Na Hvyo Nikaanza Kuwadodosa Kiundani.mnasemaje Mazee? Eti,kufukuzwa Kwao Chuo Kutafanya Wa2 Wngne Washndwe Kudai Maslah Yao?