dantes steven
Member
- Aug 25, 2012
- 11
- 1
Naomba mnisaidie nimejaribu kuwapigia cm zao za mezani hawapokei kwenye website yao wamesema mwisho kulipa ada na michango ni tarehe 30 nikilipa kwa sasa watanigomea
Naomba mnisaidie nimejaribu kuwapigia cm zao za mezani hawapokei kwenye website yao wamesema mwisho kulipa ada na michango ni tarehe 30 nikilipa kwa sasa watanigomea
jamani naombeni mnisaidie kwa hili : nlikua nmechaguliwa tumaini dar(law) bt nkaomba transfer tcu nikawa nmehamishiwa UDOM(law) lakini tatizo ni kwamba nnapojaribu kudownload form zao inaandkia "password and user name dont match or you dont hav an account yet".. sio kwamba nakosea taratibu NO nmefata kla hatua waliyoieleza lakini bado inanisumbua ni wiki ya 2 sasa na chuo ndo hivyo knafungua.. msaada Wadau kwa yeyote anayefahamu hii kitu