Kwa wale wa SUA

Huwa Sua hawatumi joining Instruction. Ila pitia web yao wametoa maelezo fresh. Kama kuna tatizo we ni Pm, nimemaliza sua, so nakifahamu fresh.

Wacha porojo!! hakuna information wanayoiulizia hawa vijana ambayo utaipata katika maeneo ya web ya SUA uliyoya quote wewe. Kupitia SUA isiwe ni warrant ya kuwadanganya watu au kuwa take for a ride.
 
Huwa Sua hawatumi joining Instruction. Ila pitia web yao wametoa maelezo fresh. Kama kuna tatizo we ni Pm, nimemaliza sua, so nakifahamu fresh.

Hizo mambo za kutuma joining Instruction hakuna!! nenda chuo siku hiyo hiyo utapata joining instruction!! Form one atumiwe joining,na wewe pia???
 
Salaam wakuu,hivi kwa wale waliochaguliwa SUA wanatakiwa wafike chuo lini?

Kwa uhakika huwa wanatuma joining na medical form ili uweze kufanya maandalizi na arrangement ya accomodation kwa msaada piga namba hii jieleze course yako then atakupa maelezo huyu sista 255232603514 maana Sua hakuna default kila siku mabadiliko mengi utayafahamu ukifika! Karibu sana Tell my people.... Aluta continua...
 
Ndugu tafadhal usisahau godoro, fekeo, ndoo ya kuogea sahan ,kijiko, kikombe,taa ya mafuta ukija na ya kucharge imekula kwako manake ss hapa vert, leo wk ya 2 hakuna umeme,
 
Ndugu tafadhal usisahau godoro, fekeo, ndoo ya kuogea sahan ,kijiko, kikombe,taa ya mafuta ukija na ya kucharge imekula kwako manake ss hapa vert, leo wk ya 2 hakuna umeme,
 
Wacha porojo!! hakuna information wanayoiulizia hawa vijana ambayo utaipata katika maeneo ya web ya SUA uliyoya quote wewe. Kupitia SUA isiwe ni warrant ya kuwadanganya watu au kuwa take for a ride.
<br />
<br />
we umesoma chuo gani? Hebu jaribu kupitia hiyo web, unafikiri ratiba ya chuo wanafunzi wanapatia wapi?. Au nikutumie Almanac niliyo download?
 
BeBeRU JIKE weWE!..SUA NAPAJUA!
Ndugu tafadhal usisahau godoro, fekeo, ndoo ya kuogea sahan ,kijiko, kikombe,taa ya mafuta ukija na ya kucharge imekula kwako manake ss hapa vert, leo wk ya 2 hakuna umeme,
<br />
<br />
 
<br />
<br />
we umesoma chuo gani? Hebu jaribu kupitia hiyo web, unafikiri ratiba ya chuo wanafunzi wanapatia wapi?. Au nikutumie Almanac niliyo download?

Umesema kweli mkuu: let me expand - Mon 24th October, 2011 ni Orientation Week begins na 31st October, 2011 ni Start of new Academic Year.
Sorry for that.
 
Aisee ahsante sana wakubwa mana me mwenyewe ndo najipapanga na hiyo Rural development yangu,,, Ha aha aha
 
Aisee ahsante sana wakubwa mana me mwenyewe ndo najipapanga na hiyo Rural development yangu,,, Ha aha aha
<br />
<br />
rural iko fresh. Swala ni kukaza mkuu. Nakusihi kuwa Mazimbu kuna vyumba vichache, jitahidi kuwahi walau upate chumba ndani ya chuo. Kuna Hosteli za Kihonda ila wanafunzi wengi hawazipendi. Relax.
 
sasa wadogo zangu mliokuwa mnalilia kwenda sua jiandaeni mnahitajika kuripoti tar 24 october for orientation week .
OKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE
MOROGORO
SELECTED CANDIDATES FOR UNDEGRADUATE DEGREE
PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2011/2012
The management of SUA is pleased to inform the following candidates that they have been selected to join
various undergraduate degree programmes for the 2011/2012 academic year which starts on the 24
th October,
2011. Candidates are advised to observe the following:
(i) All candidates selected to join B.Sc. Environmental Science and Management, B.Sc.
Education, Bachelor of Tourism Management (BTM), B.Sc. Agricultural Education,
Bachelor of Rural Development (BRD), B.Sc. Agricultural Economics and
Agribusiness, B.Sc. Applied Agricultural Extension and B.Sc. Range Management are
required to report at
Solomon Mahlangu Campus (SMC) – Mazimbu, whereas the rest
will be required to report at
the Main Campus (MC).
(ii) All are required to participate in the mandatory orientation programme which starts on Monday, the 24
th
October 2011.
(iii) All candidates are required to pay the following fees before being registered through
SUA CRDB
Bank A/C No. 01J1076769836:
Fees that must be paid before qualifying for registration are:
·
Tuition fee 1,263,000/= - Science based degree programmes
·
Tuition fee 1,000,000/= - Non-Science based degree programmes
·
Students union fee Tshs. 5,000/=
·
Examination Costs Tshs. 25,000/=
·
Library Costs Tshs. 40,000/=
·
Caution money Tshs. 20,000/=
·
Registration Tshs. 3,000/=
·
Medical fee Tshs. 100,000/=
·
Identity card Tshs. 5,000/=
(iv) Accommodation fees for rooms in University hostels is
Tshs. 78,000/= per semester,
payable through
SUA CRDB Account No. 01J1076769835. However, students are advised to
contact SUA Students Accommodation Bureau (SUASAB) before paying to avoid inconveniences that
may arise as a result of not being allocated a room in university hostels. Please contact the SUASAB
Coordinator through the following address;
suasab@suanet.ac.tz and Mobile No. 0655876497
before embarking on paying accommodation fees.
(v) The other fees are detailed in SUA fee structure. You are required to take note of the recently
approved guidelines by the Government for loan’s administration for students of Higher learning
which clearly specify who qualify and who do not qualify for loan as detailed below “Eligibility for
loans for 2011/2012 academic year from HESLB” in order to make necessary sponsorship/funding
arrangements before you join SUA.
(vi) For more information about the requirements for admission, registration as well as other
relevant/useful information, candidates are advised to consult our website,
www.suanet.ac.tz or
telephone number
023 23 260 3511-14/3679/4652).
NOTE:
No student will be registered and allowed to attend classes without paying the
mentioned fees in advance.
1
HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS BOARD
GUIDELINES AND CRITERIA FOR ISSUANCE OF STUDENT LOANS FOR 2011/2012 ACADEMIC YEAR
1.0. ELIGIBILITY FOR LOANS FOR 2011/2012 ACADEMIC YEAR
Eligible student for loans in 2011/2012 academic year must meet the following conditions (for First
Degree and Higher/Advanced Diploma students):-
1.1. Be a Tanzanian (as defined by HESLB Act No. 9 of 2004 as amended)
1.2. Must have applied for a loan through the Online Loan Application System (OLAS).
1.3. Has been admitted into a accredited Higher Learning Institution as a candidate for a
First
Degree
or Higher Diploma on full time basis.
1.4. A continuing student who has passed the examinations necessary to enable him to advance to
the next year or stage of study.
1.5. A person who is not fully funded by other organizations or sources.
1.6. First time applicants who are direct from form six.
1.7. First time applicants holding an Ordinary Diploma (Equivalent Qualifications) admitted into
Health Sciences, Education (science) and Education (Mathematics) programme only.
1.8. All other candidates admitted into programmes other than Health Sciences, Education
(Mathematics) and Education (Sciences) on the basis of equivalent qualifications shall not be
eligible for loans, with effect from 2011/2012 academic year.
1.9.
Given the high demand for student loans viz a viz a limited budget, priority shall be given to
applicants who will be admitted to pursue National Priority Programmes which for the time being
shall be the following:-
3.9.1 Education (through Means Testing)
3.9.2 Health Sciences (Doctor of Medicine, Dental Surgery, Veterinary
Medicine, Pharmacy and Nursing).
3.9.3 Engineering (through Means Testing)
3.9.4 Agricultural Sciences (through Means Testing)
3.9.5 Animal sciences (through Means Testing)
1.10.
An Overseas student under bilateral agreements between the Government of the United
Republic of Tanzania and other Governments.
1.11.
Students studying at the Open University of Tanzania for a maximum period of six (6) years.
(through Means Testing)
Issued by:-
THE EXECUTIVE DIRECTOR
HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS
 
Back
Top Bottom