kwa wale wa longtime

sugi

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
1,392
291
mnazikumbuka hizi titles?
Jogoo aliyesema,
Brown ashika tama,
Sikukuu ya sabasaba,
Sadiki na sikiri,
Kibanga ampiga mkoloni,
Nondo mla watu
..............................
..............................
..........................
.......:...........................
 
mnazikumbuka hizi titles?
Jogoo aliyesema,
Brown ashika tama,
Sikukuu ya sabasaba,
Sadiki na sikiri,
Kibanga ampiga mkoloni,
Nondo mla watu
..............................
..............................
..........................
.......:...........................

Mwana mbona hizo sio za kitambo kivileeeeee...
 
nyimbo kitabu cha kiswhili darasa la 4:- alikuja baba mmoja kutoka safari ya mbali kavimba yote mapaja
 
mnazikumbuka hizi titles?
Jogoo aliyesema,
Brown ashika tama,
Sikukuu ya sabasaba,
Sadiki na sikiri,
Kibanga ampiga mkoloni,
Nondo mla watu
..............................
..............................
..........................
.......:...........................
Hivi vitabu vimepotelea wapi?
 
Jamani mmenikumbusha mbali nikiwa nachoma mahindi nakwenda nayo shuleni na viazi pia HADHTHI ZA KIMWERI
 
mnazikumbuka hizi titles?
Jogoo aliyesema,
Brown ashika tama,
Sikukuu ya sabasaba,
Sadiki na sikiri,
Kibanga ampiga mkoloni,
Nondo mla watu
..............................
..............................
..........................
.......:...........................

Paka amlamba kuku....oh no hiyo haikuwepo sorry!
 
Hivi vitabu vimepotelea wapi?
hapa ndipo tunapoooona ni jisnsi gani wahusika wasivyokuwa makini kutunza ya kale, hata kama silabasi zimebadilika sana , tulitengemea kuwe na angalau makataba ya viatabu vya kale kama hivi, hakika ni hazina kubwa, wahuzika mpoooooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom