Kwa wale tulioachwa na wapenzi wetu tu

Hayo mbona ni kawaida sana?

Ila mie namshukuru Mungu kwani sijawahi kumpatia mtu hazina yangu yote..Akiwa na bahati kama ya Bibi DC anaambulia 60-80%!!! Huko nyuma nilikuwa najitahidi sana kuegesha na ilinisaidia kwa kiasi kikubwa.

Kama nilivyosema huko nyuma..ni hatari kuwekeza kiasi kikubwa kwa mtu hata akiwa mume au mke...!!

Babu DC!!

Nimekusoma babu, kwa kweli bibi DC ana raha hata km hapati 100 per cent but hizo umpazo zamtosha mbonaa.
 
You seem to reside in the past. Like the say the more you smell a bad smell the worst it becomes.

My advice


'Facts' in the past. 'Options' in the present. 'Possibilities' in the future.
The future can not be 'predicted' but can be 'created'.
 
Inajalisha, maana kuachwa na boyfriend sio sawa na kuachwa na mume. Boyfriend you can make a substitution, but not a husband in most african societies-unakuwa umeshakuwa na doa-
kuachwa ni kuachwa tu,haijalishi umeachwa na nani!!
 
yote anapanga mungu.kwan anayeondoka anakupunguzia meng nakukupa nafas yakufanya mambo mengne zaid.kwan huwez jua kuwa hlo halikuwa chaguo lakoooo!
 
Sikuona Koku,

Kwanza hongera sana.....na pili, issue yako sasa iko juu zaidi. Ni tofauti na kuachana tunakozungumzia!

Nitakutafuta unitumie walu picha ya katoto kazuri ka mjukuu wangu!

But one thing...Kadri utakavyozidi kuizoea hadhi ya kuwa mama na kujenga bond zaidi na mtoto...I am sure story itakuwa tofauti kabisa. Ipo siku anaweza kuanza kulalamika kuwa anahitaji muda wa kuwa na mtoto wake!

Take care,

Babu DC!!

Kule kwenye chit chat babu.
Usijali picha utapata.

This baby is my everything babu, na ni kweli amenipa faraja na furaha mpya, amenipeleka kwenye new world of love, the mother to chld love. New happiness, nee energy.

Asije akathubutu kuleta pua yake i see. Patakua padogo

Niko makini sana,
 
Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..
 
Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..
hujawai kuachwa wewe?
 
Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..


Nakubaliana na wewe Amyner,

Mtazamo kama huo ulinisaidia sana. Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo sasa hivi anajidai kuwa anataka tuwe marafiki uzeeni!!

Babu DC!!
 
Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..

Kusema na kushauri ni rahisi sana ila utekelezaji ni mgumu!!mimi nimeacha hivi juzi na huyo demu kaposwa!!
 
Nakubaliana na wewe Amyner,

Mtazamo kama huo ulinisaidia sana. Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo sasa hivi anajidai kuwa anataka tuwe marafiki uzeeni!!

Babu DC!!

Labda anajutia alichofanya.. Wengine wanakurupukaga tu.. Bora aombe urafiki tu asije kuchombeza mambo ya "Tukumbushane zilipendwa"!
 
Kusema na kushauri ni rahisi sana ila utekelezaji ni mgumu!!mimi nimeacha hivi juzi na huyo demu kaposwa!!

Si umemuacha mwenyewe? Kuna wengine hawapotezi opportunity.. Alipogundua umemuacha akamuwahi fasta! Cha msingi ni kuombeana mema.
 
Back
Top Bottom