KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
Hayo mbona ni kawaida sana?
Ila mie namshukuru Mungu kwani sijawahi kumpatia mtu hazina yangu yote..Akiwa na bahati kama ya Bibi DC anaambulia 60-80%!!! Huko nyuma nilikuwa najitahidi sana kuegesha na ilinisaidia kwa kiasi kikubwa.
Kama nilivyosema huko nyuma..ni hatari kuwekeza kiasi kikubwa kwa mtu hata akiwa mume au mke...!!
Babu DC!!
Nimekusoma babu, kwa kweli bibi DC ana raha hata km hapati 100 per cent but hizo umpazo zamtosha mbonaa.