From my experience wanaume wakizungu wagumu kuwaelewa na wako very insecure,obsessed na wanaogopa wanaume wa kiafrika wazungu wanaamini mwafrika wana Dudu kubwa basi inakuwa wivu kilio.anakupenda atakupa kila kitu ila ukisema nyoo unaondoka ujue drama la apo.kuolewa na mzungu ni too much obsession and mapenzi ya kutojimini.muwe waangalifu kutoka kazi