Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

Hivi kwa nini watu wa coast wanaruhusu hiii 'mama ngina street, mara Kenyatta beach,mara kenyata drive. Yaani huko Nairobi hakuwatoshi mpaka waende Coast ku name majina yao everywhere?
 
Picha kama hizi ndizo huwa zinanifanya niwe na kichefuchefu kula nyama, hunichukua muda kurudia hali ya kawaida, na hi hapa labda siku mbili tatu zipite bora kuwa mla mbogamboga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom